Zanzibar: Serikali yazuia Mazao ya Ndizi kutoka nje, ndizi za Veronica Mwanjala kuharibiwa ili kuzuia Magonjwa

Zanzibar: Serikali yazuia Mazao ya Ndizi kutoka nje, ndizi za Veronica Mwanjala kuharibiwa ili kuzuia Magonjwa

unfair kivipi mbona bidhaa ikitoka Zanzibar kuja bara inalipiwa kodi.
Kwani yeye amekataa kulipa huo ushuru, punguzeni umaskini tenga 30 za ndizi nayo ni ishu ya kushughulikiwa na waziri??? hawana kazi za kufanya? au ndio maana kila mara wanafuatana na rais wa muungano kila anapoenda bara.
 
Kama soko aliitaji ndizi za bara sasa siwamuache zimdodee apate asala ili siku nyingine asilete bidhaa hizo, mfanyabiashara mpaka kuipeleka bidhaa sokoni kaona bidhaa inalipa na kuna wanunuzj, huyo waziri mjinga yeye anatakiwa atulie aache soko liamue .

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Hata kama angemlazimisha kurudi bara na ndizi zake ingekuwa bora sio kumfanyia ukatiri kama huo.
 
unfair kivipi mbona bidhaa ikitoka Zanzibar kuja bara inalipiwa kodi.
Wakishalipa kodi wananyang'anywa bidhaa zao? Hivi umelewa context ya unyanganyi aliofanyiwa huyo mama. Kalipia vibali vyote na kodi na bado kaporwa bidhaa zake kwa sababu ya kijinga kabisa eti "soko la ndani la Zanzibar halihitaji ndizi za bara" kama ni kweli wangemwachia ndizi zake zingekosa wanunuzi zioze siyo kumnyang'anya
 
Enzi za Simba wa yuda ujinga kama huu haukuwepo!!!

Je anahitajika simba wa yuda Mwingine!!?

Mungu ibariki Tanzania nchi yetu tuipendayo Sana!

Tuna shida ya muungano , that's all , hata kiongozi awe malaika bado waunguja watataka wapate favour over mainlanders
 
umewahi kusikia waziri wa bara kataifisha vitu vya wapemba? We unaona huyu waziri katumia akili za utu hapo? Kama hawataki ndizi ndio ataifishe?...huyo mama mpaka anafika hapo sokoni hakupita kwenye mamlaka za ukaguzi? Maswali ni mengi ila wazanzibar ni watu wa HOVYO
Unakumbuka sukari kutoka Zanzibar ilivyo pigwa marufuku kuingia bara?
 
Mbona ardhi mnamiliki bara wapemba kwenu hamruhusu, hiyo ni fair!?

Mzenji anakuwa mpaka raisi wa bara, mbara haruhusiwi hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi hiyo ni fair!?
Wakina shaka na hangaya wanakula mema ya bara, mbara ananyang'anywa ndizi zake hiyo ni fair!?
Anyway ikifika uchaguzi huwa mnalipa gharama
Unakumbuka sukari kutoka Zanzibar ilivyo pigwa marufuku kuingia bara?
 
Mbona mnakuwa wajinga. Bidhaa za kilimo ambazo si za nafaka, embe, ndizi na matunda mengine na mboga mboga ukileta znz au ukileta Tanzania bara zinahitaji kibali maalum. Kama huna hicho basi ni kosa kuingiza.

Hivi hamjiulizi kwanini maji ya kunywa ya znz huyakuti Tanzania Bara au sukari ya Znz si ruhusa kuingiza Tanzania bara. Wacheni mihemko ya kipuuzi na ujuaji ambao unatokana na ujinga wenu. Na kuchochea zana potofu kwa sababu mama yupo raisi na mzanzibar. Tangu mwenda zake yupo madarakani huwezi kuiona ndizi kutoka Tanzania bara ikiuzwa Zanzibar.

Tafuteni jengine

Ukitaka kutuaminisha huyo mama ndo anaanza biashara Leo?
 
Koti La Muungano Limeshambana Mvaaji Muda Mrefu
Tulisema samia hakuna chochote alicho tatua kwenye muungano bali kachochea matatizo zaidi....Saa 100 hafai kuongoza binadamu labda nguruwe tu
 
katika vitu ambavyo mwal.alitukosea Sana ni hili swala la muungano ,muungano uko biased Sana .
 
Najiuliza wazir wa kilimo na kundi la maafsa wengine wa serikali wamekwenda mpaka bandarin kutoa maamuzi ya Tenga 30 za ndizi kweli? Haya ni matumizi mabaya ya rasilimali na inaonyesha wazi Hawa watu hawana kazi za tija zaidi ya kupokea mshahara wa Bure tu.
 
Back
Top Bottom