love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
Mbona mnahamisha magoli zanzibar wanakiwanda cha sukari!?Unakumbuka sukari kutoka Zanzibar ilivyo pigwa marufuku kuingia bara?
Zanzibar hawana sukari, Wafanyabishara wa Zanzibar wanaagiza sukari nje ya nchi iliyo kwisha muda wa matumizi kisha wanaibadirusha na kuipaki kwenye mifuko ya kiwanda cha Zanzibar ili ionekane imezalishwa Zanzibar .Unakumbuka sukari kutoka Zanzibar ilivyo pigwa marufuku kuingia bara?
Mnajeuri ya kugoma!?Umeme hatujasamehewa. Ile ilikiwa ni haki yetu. Mnauuza umeme kwa nchi jirani bila ya kutoka VAT. Lakini miaka yote mlikuwa mnaiuzia umeme Znz huku bei yakena include VAY ndiyo. Maana Znz wakagoma kulipa VAT. Kwa hivyo kilichosamehewa ni deni la VAT ambalo halikutakiwa kulipwa at first place. Kamtafute Ndungai YouTube utapata kujua na kutoa ujinga? Mnakumbuka si mlichoma vifaranga nyinyi. Kumbuka kilimo si mambo ya muungano shuba miti were!!
Waambie maccm menzako sisi tunajua kuna Tanganyika mliyoibatiza Tanzania bara,Who sounds naive here!!?..how old are you!?...hakuna nchi inaitwa Tanzania Bara...Bali Kuna nchi inaitwa jamhuri ya muungano wa Tanzania
Umeme hatujasamehewa. Ile ilikiwa ni haki yetu. Mnauuza umeme kwa nchi jirani bila ya kutoka VAT. Lakini miaka yote mlikuwa mnaiuzia umeme Znz huku bei yakena include VAY ndiyo. Maana Znz wakagoma kulipa VAT. Kwa hivyo kilichosamehewa ni deni la VAT ambalo halikutakiwa kulipwa at first place. Kamtafute Ndungai YouTube utapata kujua na kutoa ujinga? Mnakumbuka si mlichoma vifaranga nyinyi. Kumbuka kilimo si mambo ya muungano shuba miti were!!
Wakishalipa kodi wananyanganywa bidhaa zao? Hivi umelewa context ya unyanganyi aliofanyiwa huyo mama. Kalipia vibali vyote na kodi na bado kaporwa bidhaa zake kwa sababu ya kijinga kabisa eti "soko la ndani la Zanzibar halihitaji ndizi za bara" kama ni kweli wangemwachia ndizi zake zingekosa wanunuzi zioze siyo kumnyang'anya
hao wote walikuwa hawamtaki mwarabu na hizbu yao. Nyerere alizimishwa tu. Ndio maana ni muungano wa ajabu hapa dunianiUmemsahau mwingereza aliyemweka madarakani Nyerere baada kupinduliwa ???
ilitaifishwa na kupigwa faini ?Unakumbuka sukari kutoka Zanzibar ilivyo pigwa marufuku kuingia bara?
Kwani Waziri Mkuu Muhammed Shamte mpemba wa Ole alikuwa mwarabu ?hao wote walikuwa hawamtaki mwarabu na hizbu yao. Nyerere alizimishwa tu. Ndio maana ni muungano wa ajabu hapa duniani
Kwani wafungwa siku hizi hawalimi?Soko linajitoshereza yet wanaenda kuwagawia wafungwa? Si wangezitupa baharini kama hakuna walaji .
Si muanze kuliondosha jeshi lenu la uvamizi kwanzaWaambie maccm menzako sisi tunajua kuna Tanganyika mliyoibatiza Tanzania bara,
Na huu upendo wenu wa muungano uendelee hata raisi akiwa mtanganyika na tusiwasikie
mnalia lia kwenye uchaguzi mnauliwa na wabara wakati mnaraisi wenu na nchi yenu.
kifupi motivation kubwa ilikuwa sababu ya cold war kulikuwa na wasiwasi kwa mabeberu juu ya ukoministiKwani Waziri Mkuu Muhammed Shamte mpemba wa Ole alikuwa mwarabu ?
Shamte hakuwa Hizbu alikuwa ZPPP
Hiyo ni kazi ya raisi wenu na ma ccmSi muanze kuliondosha jeshi lenu la uvamizi kwanza
Tatizo siyo kodi ,tatizo ni yule mama kunyang'anywa ndizi zake.unfair kivipi mbona bidhaa ikitoka Zanzibar kuja bara inalipiwa kodi.
Hatutaki ongozwa na wehu.Enzi za Simba wa yuda ujinga kama huu haukuwepo!!!
Je anahitajika simba wa yuda Mwingine!!?
Mungu ibariki Tanzania nchi yetu tuipendayo Sana!
Nchi mbili zilizoungana tangu 1964 !Hii si nchi moja ?!
ha ha ha nimesoma kwa sauti ya mamaNa hili nalo mkalitizame
Tena kubwaaaaaaàKwanini wazanzibari wakiingiza bidhaa bara wanalipishwa kodi?