Hii video umeiangalia? Leta nyingine iendane na ulichokiandika. Nadhani umeelewa.🙏🙏🙏Hii ni mojawapo mfanyabiashara wa bara anyang'anywa tenga 30 za ndizi na faini ya shilingi 50,000 kwa kosa la kuingiza ndizi Zanzibar
USSR View attachment 2502934
Sent using Jamii Forums mobile app