Naomba connection ya sehemu nayoweza kuapata mzigo wa smartphone /Laptop huko znz wakuu...!
Nimepewa mchongo pia kuna viwanja Maeneo ya Mwera-Kibondemaji vipo viwanja Mil 7 mpaka 6
Tulishachapa mwendo kitambo sana...View attachment 1932349
Subiri next season.
Tujiunge kama itakupendeza mwenyewe nna hesabu ya kukaa juma moja tu ktkt ya DecemberNatafuta pesa niende kutalii huko mwezi desemba.
Sawa mkuu ngoja tujipange kwa hilo.Tujiunge kama itakupendeza mwenyewe nna hesabu ya kukaa juma moja tu ktkt ya December
Mimi nipo Zanzibar kwa muda wa miaka mitatu sasa. Ninashukuru ninajua kona na almost deal zote za Unguja kama michongo ya ajira, elimu, biashara, utalii na michezo. Kama kuna mhitaji katika hayo njoo inbobo tuyajengeNimehisi nijaribu kuanzisha huu uzi kwa ajili ya kupeana support ya baadhi ya changamoto. Kwa wale wote wanaoishi Zanzibar au wanaopanga kwenda kuishi Zanzibar, Au kwa wale wanaotaka kwenda kwa ajili ya matembezi na menginayo.
Hii thread tutasaidiana kwa ajili kuelekezana mambo tofauti ikiwemo michongo ya ajira, masuala ya ununuzi wa bidhaa, mazingira ya kibiashara, masuala ya makaazi, guest houses na mikahawa kwa wanaokwenda kimatembezi pamoja na changamoto nyingengine nyingi za kimaisha, Na pia kuwasaidia muongoza kwa wale wanaohamia sasa au wanaokwenda kutembea ambao hawana wenyeji.
Natarajia watajitokeza wengi wenye uzoefu zaidi kuchangia mada hii.
Uko mashuma ulete wengi, wakijua wewe mtanganyika hawaji kununua bidhaa kwakoKuna fursa gani huko nije niweke kambi mtaji wa milion 1
Uko mashuma ulete wengi, wakijua wewe mtanganyika hawaji kununua bidhaa kwako
Sent using Jamii Forums mobile app
Bei za Desemba haxishikiki huko. Labda uwe kama akina Dis, ond unafikia uchochoroni then mchana unaenda hotel kubwa kupiga picha za kuoshea. [emoji23][emoji23][emoji23]Tujiunge kama itakupendeza mwenyewe nna hesabu ya kukaa juma moja tu ktkt ya December
Kuna fursa gani huko nije niweke kambi mtaji wa milion 1
Dah zenji bhana.kwa milioni 1 labda uweke meza uuze matunda mkuu, ni ndogo sana kwa uwekezaji kwa Zanzibar, kuko expensive sana kwenye masuala ya kibiashara
Mkuu si myajenge hapa hapa tunufaike woteMimi nipo Zanzibar kwa muda wa miaka mitatu sasa. Ninashukuru ninajua kona na almost deal zote za Unguja kama michongo ya ajira, elimu, biashara, utalii na michezo. Kama kuna mhitaji katika hayo njoo inbobo tuyajenge