Zanzibar | Special Thread

Zanzibar | Special Thread

236395680_4458960144166199_6525092339920204523_n.jpg
 
Hello everyone
A 5 star hotel situated at Paje in zanzibar is looking for an experienced boutique lady who will be working in the shop.The attendant should have at least 3 years of 5 star experience in the boutique.
Please contact us through:
+255654981815(WhatsApp )
+255683586070 .
 
Nimehisi nijaribu kuanzisha huu uzi kwa ajili ya kupeana support ya baadhi ya changamoto. Kwa wale wote wanaoishi Zanzibar au wanaopanga kwenda kuishi Zanzibar, Au kwa wale wanaotaka kwenda kwa ajili ya matembezi na menginayo.

Hii thread tutasaidiana kwa ajili kuelekezana mambo tofauti ikiwemo michongo ya ajira, masuala ya ununuzi wa bidhaa, mazingira ya kibiashara, masuala ya makaazi, guest houses na mikahawa kwa wanaokwenda kimatembezi pamoja na changamoto nyingengine nyingi za kimaisha, Na pia kuwasaidia muongoza kwa wale wanaohamia sasa au wanaokwenda kutembea ambao hawana wenyeji.

Natarajia watajitokeza wengi wenye uzoefu zaidi kuchangia mada hii.
Mimi nipo Zanzibar kwa muda wa miaka mitatu sasa. Ninashukuru ninajua kona na almost deal zote za Unguja kama michongo ya ajira, elimu, biashara, utalii na michezo. Kama kuna mhitaji katika hayo njoo inbobo tuyajenge
 

Root

Zanzibar kuna mtaa wanaita Mlandege, upo karibu na eneo la bandari, hapo kuna guest house kadhaa moja wanaita Paradise, Kuna moja wanaita Baraste ninazozikumbuka, ila gharama zake nahisi ndio humo 35 - 70, mana mara ya mwisho mimi nililipa 40 ila makodi kila siku yanazidi nahisi pengine bei zinaweza kuwa zimesogea kidogo.​

 
Tujiunge kama itakupendeza mwenyewe nna hesabu ya kukaa juma moja tu ktkt ya December
Bei za Desemba haxishikiki huko. Labda uwe kama akina Dis, ond unafikia uchochoroni then mchana unaenda hotel kubwa kupiga picha za kuoshea. [emoji23][emoji23][emoji23]

Ni kweli buts it's a joke
 
Mimi nipo Zanzibar kwa muda wa miaka mitatu sasa. Ninashukuru ninajua kona na almost deal zote za Unguja kama michongo ya ajira, elimu, biashara, utalii na michezo. Kama kuna mhitaji katika hayo njoo inbobo tuyajenge
Mkuu si myajenge hapa hapa tunufaike wote
 
kwa wanaoishi zenj, wapi unaweza kupata kununua samaki wa maji baridi?
 
Back
Top Bottom