Ibn Massood
Senior Member
- May 7, 2012
- 153
- 372
Nilimshangaa sana uyo alieanzisha huo uzi Halafu anajiita daktari Nonsense tupuThread hii Waione Watanganyika na Wazanzibar Wazanzibar acheni kuwaminya Watoto visogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilimshangaa sana uyo alieanzisha huo uzi Halafu anajiita daktari Nonsense tupuThread hii Waione Watanganyika na Wazanzibar Wazanzibar acheni kuwaminya Watoto visogo
Utakua unakula tu urojo bila shaka!! 🥣 Mimi huo hata kwa viboko sili!!! 🥵
Daktari Hana adabu yule. [emoji1787][emoji1787]Nilimshangaa sana uyo alieanzisha huo uzi Halafu anajiita daktari Nonsense tupu
Una umri gani kwanza?.Vitu vingi ulivyoandika hapa ni uzushi.
Wana tabia ya kuwa zalisha dada zetu na kuwa telekeza na watoto, na hawa ruhusiwi kusema Kwa wazaz wao kama wamezaa nje ya ndoa, kwaiyo mtoto ata lelewa na mwanamke mpaka ata kuwa mkubwa hasimjue Baba yake na ndugu wa upande wa Baba yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kasema ukweli..sasa unashangaa nini.?Nilimshangaa sana uyo alieanzisha huo uzi Halafu anajiita daktari Nonsense tupu
na wew ukamuamini??
Logging za bei rahisi kuanzia 10k-25k maeneo ya stone town..beach nzuri..restaurants nzuri..za bei affordable kwa mtanzania..pia viwanja vya kununua.Unataka kujua nini kuhusu Zanzibar nitakujibu.
Wanawake wote waliozalishwa na wapemba wametelekezwa tunaish nao hapa unguja.Mkuu una dada yako aliezalishwa na mpemba?
Umri wangu una uhusiano gani na hii post hapo!?Una umri gani kwanza?.
Mtihani. Wadada wengine wanajilengesha kusudi apate mtt chotara mwenye rangi nyeupe na nywele.Wana tabia ya kuwa zalisha dada zetu na kuwa telekeza na watoto, na hawa ruhusiwi kusema Kwa wazaz wao kama wamezaa nje ya ndoa, kwaiyo mtoto ata lelewa na mwanamke mpaka ata kuwa mkubwa hasimjue Baba yake na ndugu wa upande wa Baba yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa uliyosema Mkuu, nilipewa nyumba yenye familia ambayo aliishi Bibi Mzee na vijana wawili ambao ndio walionipokea (nina wasiwasi wana asili ya kiburush) palitulia sana ila ilikuwa kipindi cha Mfungo wa Ramadhani kwa hiyo Mchana hakukuwa na mihangaiko au rabshaYule mpemba ni muongo sana, anaongea uongo mbele ya watu wazima.
Anasema guest zipo nyingi!!.
Sisi wengine tushakuwa wenyeji, najua guest bubu nyingi tu na hazipo rasmi zile rasmi zipo pembezoni mwa mji.
Na nyingi ya hizo unakuta mtu alikuwa na familia ambapo watoto wamekuwa wamesepa arabuni au wapo Tanganyika so nyumba imebaki tupu wanaamua kupangisha na bei haizidi 10,000/- per night labda iwe self inazidi kidogo sana.
Hebu acha maneno mengi, njoo ujisajili Zanzibar international marathon for the next week upate afya.Umri wangu una uhusiano gani na hii post hapo!?
Fuatilia posts zangu labda unaweza kukisia umri wangu.
Kitu nilichojifunza hasa kule Mji Mkongwe wengi w watu wazima ni kupumzika vijiweni na stori za kwenda Arabuni yaani ni tofauti na Kariakoo au Manzese
Safari hii nitatafuta mwenyeji anioneshe hizo Guest za Mji mkongwe
Mkuu tarehe ngapi inafanyika niitokeeHebu acha maneno mengi, njoo ujisajili Zanzibar international marathon for the next week upate afya.
Tulishachapa mwendo kitambo sana...Mkuu tarehe ngapi inafanyika niitokee
Sawa MkuuTulishachapa mwendo kitambo sana...View attachment 1932349
Subiri next season.
Shida iko wapNilimshangaa sana uyo alieanzisha huo uzi Halafu anajiita daktari Nonsense tupu