Zanzibar: Tuliialika Yanga SC baada ya kupata kura nyingi

Zanzibar: Tuliialika Yanga SC baada ya kupata kura nyingi

Wizara ya habari utamaduni vijana Sanaa na michezo ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar SMZ imesema katika kusheherekea mwaka mmoja wa uongozi wa Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dkt HUSSEIN ALLI MWINYI walikuwa na mapendekezo ya timu Tatu katika kufanikisha sherehe hizo ambazo ni kutoka bara yaani YANGA, SIMBA NA AZAM na Yanga ilipata kura nyingi zaidi.

Katibu mkuu wizara hiyo Bi FATMA HAMAD RAJAB amesema Leo visiwani humo katika kuwashukuru wadau waliofanikisha sherehe hizo ambazo zilifana.

Tulipeleka timu Tatu 3 kwa wadau ili zipigiwe kura ni timu ipi tuialike kuja kusheherehesha ambazo kutoka bara tulipendekeza YANGA, SIMBA NA AZAM FC baada ya mchakato wa kama wiki hivi timu pekee iliyopata kura nyingi ni YANGA hivyo tulipeleka mwaliko na tukawaambia kabisa viongozi wa YANGA wadau wenu visiwani wanahitaji mje kutoa burudani--Bi FATMA.

Katika kura zaidi ya 5500 zilizopigwa na wadau wa soka hapa visiwani YANGA ilipata kura 4915, Simba ilipata kura 422 na Azam ilipata kura 163 pekee--bi FATMA HAMAD RAJAB.

Hatukuwa na namna zaidi ya kuwasiliana na uongozi wa YANGA ambao nao walitupa ushirikiano mkubwa na kuahidi kuleta kikosi Chao kamili Ili kutoa burudani kwa wapenda soka hapa visiwani na kama mlivyoona wenyewe Yanga waliuwasha hasa hivyo tunawashukuru hawakutuangusha--bi FATMA.

Imani ya wazanzibar kwa timu za bara hasa YANGA ni kubwa mno hivyo kwa kutambua Hilo viongozi wa YANGA nao waliitikia mualiko wetu vizuri na hawakutaka kuleta kikosi B kwani walituambia wachezaji pekee watakaokosekana ni wale tu walioitwa kwenye timu zao za taifa lakini wengine wote watakuja nao na walifanya hivyo sisi kama wizara na ambao tulipewa jukumu la kuratibu Hilo tunatoa shukrani zetu za dhati kwa uongozi wa YANGA na mashabiki kwa ujumla--alimalizia bi FATMA HAMAD RAJAB.

Studio sauti inatosha huko au iongezwe?
Utopolo na sifa za ndondo za vidimbwi mmealikwa kucheza na vinguchiro vya mchamba pwatupwatu na mauoloojo naona mwabwata na kubwaka, twawapa hongera hizo zenu.
 
ni kweli simba ilikuwa vizuri but sio now mkuu .........haipo on trending kama yanga
Kipi kigeni kwa yanga ya msimu huu kinacho itofautisha na yanga ya msimu uliopita?

Kuongoza ligi?

Mbona mwaka jana iliongoza ligi kwa mechi zaidi ya 14 ikiwa unbeaten?

Kama unafikiria yanga ya saizi iko vizuri, ebu fikiria ile yanga ya msimu uliopita ilivyokua mpaka hersi akaahidi endapo hawatapata ubingwa mashabiki wamfate yeye na wamuulize

Au tuseme yanga ya saizi ni moto kwasababu ina mayele anayesifika?

Lakini utakumbuka mwaka jana tulikua na yanga yenye kalinyo ambaye alibebwa juu juu kwa sifa tele zaidi ya huyu wa sasa

Au tuseme yanga ni moto kwasababu kuna manara?
 
😁😁😁 simba ni yanga ...... but yanga sio simba
Ndio mkuu mwaka 1935 ilianzishwa Yanga, baadae 1936 makolo wakajitoa Yanga kwenda kuanzisha timu yao the queens na baadae sunderland then Simba. Kwa hiyo Simba ni tawi la Yanga.
 
Kipi kigeni kwa yanga ya msimu huu kinacho itofautisha na yanga ya msimu uliopita?

Kuongoza ligi?

Mbona mwaka jana iliongoza ligi kwa mechi zaidi ya 14 ikiwa unbeaten?

Kama unagikiria yanga ya saizi iko vizuri, ebu fikiria ile yanga ya msimu uliopita ilivyokua mpaka hersi akaahidi endapo hawatapata ubingwa mashabiki wamfate yeye na wamuulize

Au tuseme yanga ya saizi ni moto kwasababu ina mayele anayesifika?

Lakini utakumbuka mwaka jana tulikua na yanga yenye kalinyo ambaye alibebwa juu juu kwa sifa tele zaidi ya huyu wa sasa

Au tuseme yanga ni moto kwasababu kuna manara?
usiku mwema mkuu..........................tukutane kesho 😀😀
 
Ndio mkuu mwaka 1935 ilianzishwa Yanga, baadae 1936 makolo wakajitoa Yanga kwenda kuanzisha timu yao the queens na baadae sunderland then Simba. Kwa hiyo Simba ni tawi la Yanga.
daaaah ko wanaume wazima wakajiita THE QUEENS
 
Ndio mkuu mwaka 1935 ilianzishwa Yanga, baadae 1936 makolo wakajitoa Yanga kwenda kuanzisha timu yao the queens na baadae sunderland then Simba. Kwa hiyo Simba ni tawi la Yanga.
Inaonekana uko interested na historia ebu tuambie hiyo 1935 ya mwezi gani?

Maana usikute ni mwezi wa 12 tarehe 27 baada ya xmas afu mnakuja kuvimba kindezi
 
fuatilia timu inayocheza mpira mwingi na wakuvutia ni ................YANGA

Wewe Jamaa hujui hata maana ya Kutrend.
Simba ndiyo Mfalme wa Kutrend Nchi hii na Juzi tu wamepokea Tunzo ya kuwa Timu inayofuatiliwa zaidi Afrika kwenye Instagram. Sio Tanzania tu bali ni Afrika.
 
Wewe Jamaa hujui hata maana ya Kutrend.
Simba ndiyo Mfalme wa Kutrend Nchi hii na Juzi tu wamepokea Tunzo ya kuwa Timu inayofuatiliwa zaidi Afrika kwenye Instagram. Sio Tanzania tu bali ni Afrika.
Weka ushahidi acha kuleta chupli chupli
 
Wizara ya habari utamaduni vijana Sanaa na michezo ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar SMZ imesema katika kusheherekea mwaka mmoja wa uongozi wa Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dkt HUSSEIN ALLI MWINYI walikuwa na mapendekezo ya timu Tatu katika kufanikisha sherehe hizo ambazo ni kutoka bara yaani YANGA, SIMBA NA AZAM na Yanga ilipata kura nyingi zaidi.

Katibu mkuu wizara hiyo Bi FATMA HAMAD RAJAB amesema Leo visiwani humo katika kuwashukuru wadau waliofanikisha sherehe hizo ambazo zilifana.

Tulipeleka timu Tatu 3 kwa wadau ili zipigiwe kura ni timu ipi tuialike kuja kusheherehesha ambazo kutoka bara tulipendekeza YANGA, SIMBA NA AZAM FC baada ya mchakato wa kama wiki hivi timu pekee iliyopata kura nyingi ni YANGA hivyo tulipeleka mwaliko na tukawaambia kabisa viongozi wa YANGA wadau wenu visiwani wanahitaji mje kutoa burudani--Bi FATMA.

Katika kura zaidi ya 5500 zilizopigwa na wadau wa soka hapa visiwani YANGA ilipata kura 4915, Simba ilipata kura 422 na Azam ilipata kura 163 pekee--bi FATMA HAMAD RAJAB.

Hatukuwa na namna zaidi ya kuwasiliana na uongozi wa YANGA ambao nao walitupa ushirikiano mkubwa na kuahidi kuleta kikosi Chao kamili Ili kutoa burudani kwa wapenda soka hapa visiwani na kama mlivyoona wenyewe Yanga waliuwasha hasa hivyo tunawashukuru hawakutuangusha--bi FATMA.

Imani ya wazanzibar kwa timu za bara hasa YANGA ni kubwa mno hivyo kwa kutambua Hilo viongozi wa YANGA nao waliitikia mualiko wetu vizuri na hawakutaka kuleta kikosi B kwani walituambia wachezaji pekee watakaokosekana ni wale tu walioitwa kwenye timu zao za taifa lakini wengine wote watakuja nao na walifanya hivyo sisi kama wizara na ambao tulipewa jukumu la kuratibu Hilo tunatoa shukrani zetu za dhati kwa uongozi wa YANGA na mashabiki kwa ujumla--alimalizia bi FATMA HAMAD RAJAB.

Studio sauti inatosha huko au iongezwe?
Ongeza sauti kidogo hawajasikia hukooo
 
Simba tugomeee hiyo ndondo yao Mapinduzi cup au tupeleke watoto under 20
Nadhani inafahamika kuwa Yanga Ina fanbase kubwa visiwani kuliko bara. Hilo hata kilaza Gentamycine anajua. Wala Hilo Halina haja ya kuntia mtu shipa
 
Mfano mikia wangepata kura nyingi maskini sijui wangeonesha nn mpira wao ule hauvutii tena
 
Aliyetoa hizo taarifa amefanya makosa makubwa sana ya kiufundi.

Hata kama kulikua na upigaji kura na matokeo yakawa hivyo, hakukuwa na umuhimu wowote wa kuja hadharani kuyasema hayo.

Kwa kujua au kutokujua anaharibu mahusiano kati ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (waliokua na hiyo shughuli) na vilabu vingine visivyokua "Yanga".

Sijui kulikua na ulazima gani wa kuyasema hayo, lakini nadhani hajafikiria vizuri sana kuhusu kesho.
Nakualiana na hoja yako, naaminj wewe unajua falsafa ya mahusiano michezoni kuliko wengine hapo juu waaoongea kwa mihemko.
 
Back
Top Bottom