bahati mbaya kwako ni kuwa wanaotakiwa kupiga marufuku ndiyo walevi waliokubuhu zanzibar. wanajificha kw kuvaa kanzu, baraghashia, hijabu na baibuiNchi ya Qatar imenivutia sana kwa kuwa na msimamo mzuri dhidi ya uozo wa kimagharibi wa pombe, ngono, ushoga etc
Zanzibar ni nchi nzuri ya kistaarabu sana lakini naona kuna uozo unaongezeka kwa kasi kubwa.
Nyimbo na video za uchi, unywaji pombe, kuvaa vivazi vya nusu uchi hadharani n.k.
Ni muda sasa wa Zanzibar kuweka heshima ya ustaarabu wetu tupige marufuku bar zote na TV zinazopiga nyimbo za nusu uchi.
Cc:Hii ngumu sana kws sababu zifuatazo
1. Baa nyingi na sehemu za starehe zinamilikiwa na serekali pamoja na chama twawala. Kila penye kambi ya jeshi pana baaa.
2. Wanywaji wengi ni wale wafuasi wa chama dola na viongozi wake.
3. Baadhi ya watunga sheria (wawakilishi na wabunge ) nao ni wadau wazuri wa vinywaji. Kuna mwakilishi anaitwa Hussein Makungu a.k.a Bhaa Style, huyu anamiliki disco na baa maarufu mjini ,komba bar, ambayo inalalamikiwa kuwa inawauzia hadi watoto vilevi. Pia mawaziri wengi na wao ni wadau.
Kiufupi nchi ya Zanzibar will never be the same labda Mungu alete miujiza yake. Nchi imeharibiwa sana.
WilayaHii ngumu sana kws sababu zifuatazo
1. Baa nyingi na sehemu za starehe zinamilikiwa na serekali pamoja na chama twawala. Kila penye kambi ya jeshi pana baaa.
2. Wanywaji wengi ni wale wafuasi wa chama dola na viongozi wake.
3. Baadhi ya watunga sheria (wawakilishi na wabunge ) nao ni wadau wazuri wa vinywaji. Kuna mwakilishi anaitwa Hussein Makungu a.k.a Bhaa Style, huyu anamiliki disco na baa maarufu mjini ,komba bar, ambayo inalalamikiwa kuwa inawauzia hadi watoto vilevi. Pia mawaziri wengi na wao ni wadau.
Kiufupi nchi ya Zanzibar will never be the same labda Mungu alete miujiza yake. Nchi imeharibiwa sana.
Kuvaa kwa stara ndio kuvaa kama Ninja? Nchi isiyokuwa na maadilii ni nchi iliyoozaWewe kama unapenda kuvaa kama ninja hujakatazwa, vaa na mkeo, acheni tabia ya kulazimisha mambo yenu kwa wengine, na kuchakata au ndoa ni swala binafsi acheni ujinga kuingilia faragha za watu
Definition ya stara according na imani yako ndio unayotaka tuu, acha watu wajivalie wanavyotaka as long as wamefunika mbususu zao sio tatizoKuvaa kwa stara ndio kuvaa kama Ninja? Nchi isiyokuwa na maadilii ni nchi iliyooza
NENO USTA-ARABU UNAJUA MAANA YAKE NA ASILI YAKE????? NI KWELI ZANZIBAR ILIKUA NCHI YA KISTAARABU NDIO MAANA WABANTU WAKAFANYA MAPINDUZI!!!Upo SahiiNchi ya Qatar imenivutia sana kwa kuwa na msimamo mzuri dhidi ya uozo wa kimagharibi wa pombe, ngono, ushoga etc
Zanzibar ni nchi nzuri ya kistaarabu sana lakini naona kuna uozo unaongezeka kwa kasi kubwa.
Nyimbo na video za uchi, unywaji pombe, kuvaa vivazi vya nusu uchi hadharani n.k.
Ni muda sasa wa Zanzibar kuweka heshima ya ustaarabu wetu tupige marufuku bar zote na TV zinazopiga nyimbo za nusu uchi.
Nani alikuambia Qatar hakuna pombe? Ipo sana tena sana ila hainywewi hadharani. Unazuiwa kunywa mtaani ili unywe chumbani.
Hayo mambo madogo sana,tatizo la kuwaza kwa kutumia dini,Ili kutatua matatizo ya kiuchumi,Nchi ya Qatar imenivutia sana kwa kuwa na msimamo mzuri dhidi ya uozo wa kimagharibi wa pombe, ngono, ushoga etc
Zanzibar ni nchi nzuri ya kistaarabu sana lakini naona kuna uozo unaongezeka kwa kasi kubwa.
Nyimbo na video za uchi, unywaji pombe, kuvaa vivazi vya nusu uchi hadharani n.k.
Ni muda sasa wa Zanzibar kuweka heshima ya ustaarabu wetu tupige marufuku bar zote na TV zinazopiga nyimbo za nusu uchi.
Kwani kudhibiti uozo wa kimaadili kunahitaji uwe islamic country?
Uozo kimagharibi upi kaka????? Au hujawahi kukaaa uarabuni???Mbona tuliowahi kuishi Qatar,Saudi Arabia na Omani hivi vitu Vipo ushoga,ulevi,kuvaa nusu uchi ndani ya mabaibui pia madanguro yapo na vinafanywa na waarabu wenyewe(Wazawa)kitambo tu!!!!Kabla hujaeneza chuki kwa watu wa magharibi zunguka duniani(Safiri) ujionee kwanza mdogo wanguNchi ya Qatar imenivutia sana kwa kuwa na msimamo mzuri dhidi ya uozo wa kimagharibi wa pombe, ngono, ushoga etc
Zanzibar ni nchi nzuri ya kistaarabu sana lakini naona kuna uozo unaongezeka kwa kasi kubwa.
Nyimbo na video za uchi, unywaji pombe, kuvaa vivazi vya nusu uchi hadharani n.k.
Ni muda sasa wa Zanzibar kuweka heshima ya ustaarabu wetu tupige marufuku bar zote na TV zinazopiga nyimbo za nusu uchi.
Ungeanza kwanza kwa kubadirisha majina yako ya kizungu.Nchi ya Qatar imenivutia sana kwa kuwa na msimamo mzuri dhidi ya uozo wa kimagharibi wa pombe, ngono, ushoga etc
Zanzibar ni nchi nzuri ya kistaarabu sana lakini naona kuna uozo unaongezeka kwa kasi kubwa.
Nyimbo na video za uchi, unywaji pombe, kuvaa vivazi vya nusu uchi hadharani n.k.
Ni muda sasa wa Zanzibar kuweka heshima ya ustaarabu wetu tupige marufuku bar zote na TV zinazopiga nyimbo za nusu uchi.
Supermarket vilevi vinaruhusiwa kuuzwa lakini mkuu. Unabeba unaenda kunywea unapopajuaSheria zipo, kuuza kilevi ni lazima uwe na kibali maalum, kama unavunja sheria usichukuliwe hatua?
Hivi Qatar hawatumii alcohol eeh! Ila watu πππNchi ya Qatar imenivutia sana kwa kuwa na msimamo mzuri dhidi ya uozo wa kimagharibi wa pombe, ngono, ushoga etc
Zanzibar ni nchi nzuri ya kistaarabu sana lakini naona kuna uozo unaongezeka kwa kasi kubwa.
Nyimbo na video za uchi, unywaji pombe, kuvaa vivazi vya nusu uchi hadharani n.k.
Ni muda sasa wa Zanzibar kuweka heshima ya ustaarabu wetu tupige marufuku bar zote na TV zinazopiga nyimbo za nusu uchi.
Defao dhambi kwa wafuasi wa Mudi ila kwa wengine waakweli sio sawa kudai kitimoto ni dhambi pekee yake na hizo nyngine sio dhambi ila haibadilishi ukweli kuwa Defao ni haramu na dhambi, na tunapaswa kuacha kula hiyo defao na hzo dhambi nyingne pia tuache kuzifanya.
Dogo safiri uoneππ!!!Nimeshafika Riyadh nikapiga pombe kama kawa,nimefika Tehran nikapiga pombe kama kawa na nimeshafika Khartoum nikapiga pombe kama kawa!!!Tena wenyeji wangu walikua wazawa na nchi zote hizo ni islamic states!!!Acha story za kwenye vijiwe safiri uone dunia ilivyoNchi ya Qatar imenivutia sana kwa kuwa na msimamo mzuri dhidi ya uozo wa kimagharibi wa pombe, ngono, ushoga etc
Zanzibar ni nchi nzuri ya kistaarabu sana lakini naona kuna uozo unaongezeka kwa kasi kubwa.
Nyimbo na video za uchi, unywaji pombe, kuvaa vivazi vya nusu uchi hadharani n.k.
Ni muda sasa wa Zanzibar kuweka heshima ya ustaarabu wetu tupige marufuku bar zote na TV zinazopiga nyimbo za nusu uchi.
πππSiku nyingine tucheki tukupe direction I mean link up bro!!!Sina hamu na nyie. Nilifikia Golden Tulip ile mpya kule airport na kumbe walikua hawauzi pombe nikasema basi ngoja nikatafute wine nijipigie zangu huku nawatch world cup. E bwana nilizunguka hadi kizunguzungu, supermarket kama nne hivi hamna wine. Nikabahatika kwenye supermarket moja hivi ya mchaga nikasema hapa nachukua kila kitu staki ujinga. Uzuri rough rider nilitoka nazo bongo kama akiba japo nilirudi nazo kutokana na ubize,ila naskia hizo ndo hamna kabisa. Mnateleza tu wazanzibari