Zanzibar turudishe heshima yetu, tuige mfano mzuri wa Qatar, pombe ipigwe marufuku kabisa

bahati mbaya kwako ni kuwa wanaotakiwa kupiga marufuku ndiyo walevi waliokubuhu zanzibar. wanajificha kw kuvaa kanzu, baraghashia, hijabu na baibui
 
Cc:
CCM Social Hall
Nyerere Rd
Zanzibar
 
Wilaya
 
Wewe kama unapenda kuvaa kama ninja hujakatazwa, vaa na mkeo, acheni tabia ya kulazimisha mambo yenu kwa wengine, na kuchakata au ndoa ni swala binafsi acheni ujinga kuingilia faragha za watu
Kuvaa kwa stara ndio kuvaa kama Ninja? Nchi isiyokuwa na maadilii ni nchi iliyooza
 
NENO USTA-ARABU UNAJUA MAANA YAKE NA ASILI YAKE????? NI KWELI ZANZIBAR ILIKUA NCHI YA KISTAARABU NDIO MAANA WABANTU WAKAFANYA MAPINDUZI!!!Upo Sahii
 
Nani alikuambia Qatar hakuna pombe? Ipo sana tena sana ila hainywewi hadharani. Unazuiwa kunywa mtaani ili unywe chumbani.
Kama vile Marekani ya Kaskazini USA na Canada pia nchi za magharibi, latin Amerika Brazil ufukwe wa Copa Cabana n.k pombe hainywewi hadharani, katika Park za umma na Beach. Pombe hunywewa ndani katika maeneo yaliyoruhusiwa na leseni husika au majumbani .

 
Hayo mambo madogo sana,tatizo la kuwaza kwa kutumia dini,Ili kutatua matatizo ya kiuchumi,
Zenj vijana hawana ajira,uchumi ni tegemezi,Zenj haiwezi jiendesha bila kuwa kupe wa Tanganyika,sasa badala ya kuwaza kukuza uchumi,kupitia sekta za IT,utalii,kilimo,real estate,viwanda Ili Zenj iwe kama Hongkong au Taiwan,au Qatar !!mbulula anawaza pombe na kuvaa vimini,kwamba ndio tatizo kuu!!!
Akili za kiislam huwa zinashangaza sana.
Unakuta kijana kama (zuchu na Mond),hawafanyi matangazo ya pombe sababu wao ni "watoto wa kiislam"
Ila wanakulana nje ya ndoa,kadadaa kama piga pozi kama porn artist!!hapo "utoto wa kiislam haupo""
Unafiki balaaa
 
Kwani kudhibiti uozo wa kimaadili kunahitaji uwe islamic country?

Huwezi kupiga pombe marufuku bila ya kwanza kuwa Islamic republic, na Zanzibar siyo Islamic country ili seize kuwa Islamic 200 years a go, leo hii mfumo mzima wa Zanzibar ni Christian (western) hata Watalii inategemea kutoka Ulaya na USA na siyo Iran au Saudia, …
 
Uozo kimagharibi upi kaka????? Au hujawahi kukaaa uarabuni???Mbona tuliowahi kuishi Qatar,Saudi Arabia na Omani hivi vitu Vipo ushoga,ulevi,kuvaa nusu uchi ndani ya mabaibui pia madanguro yapo na vinafanywa na waarabu wenyewe(Wazawa)kitambo tu!!!!Kabla hujaeneza chuki kwa watu wa magharibi zunguka duniani(Safiri) ujionee kwanza mdogo wangu
 
Ungeanza kwanza kwa kubadirisha majina yako ya kizungu.
 
Sheria zipo, kuuza kilevi ni lazima uwe na kibali maalum, kama unavunja sheria usichukuliwe hatua?
Supermarket vilevi vinaruhusiwa kuuzwa lakini mkuu. Unabeba unaenda kunywea unapopajua
 
Nadhani UBARADHULI na kulawiti watoto wadogo ni janga kubwa sana kuliko ulevi

WaZabzibar inabidi mkomae mapema vinginevyo jamii ya WAVULANA watabadilika kuwa wasichana.

Tanzania bara hakuna wanaume wa kutosha na wanaume wa Oman kwa ubaguzi wao hawatawaowa Wazanzibari

Get your priority right
 
Qatar πŸ‡ΆπŸ‡¦

Kwa mbalii unasikia goma la msewe kama la kwetu Wete Pemba, watu wanajichanganya kama kawa
 
Hivi Qatar hawatumii alcohol eeh! Ila watu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
kweli sio sawa kudai kitimoto ni dhambi pekee yake na hizo nyngine sio dhambi ila haibadilishi ukweli kuwa Defao ni haramu na dhambi, na tunapaswa kuacha kula hiyo defao na hzo dhambi nyingne pia tuache kuzifanya.
Defao dhambi kwa wafuasi wa Mudi ila kwa wengine waa
Dogo safiri uoneπŸ˜‚πŸ˜‚!!!Nimeshafika Riyadh nikapiga pombe kama kawa,nimefika Tehran nikapiga pombe kama kawa na nimeshafika Khartoum nikapiga pombe kama kawa!!!Tena wenyeji wangu walikua wazawa na nchi zote hizo ni islamic states!!!Acha story za kwenye vijiwe safiri uone dunia ilivyo
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Siku nyingine tucheki tukupe direction I mean link up bro!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…