Marie Antoinette
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 426
- 412
Kidiplomasia kwa lipi sasa? Huyo mtalii alienda kupumzika na kulala, maandishi kwenye gari yalimhusu nini? Kutopenda Palestina kwake,ndo kufanye wengine wasiandike wanavyotaka?Hii habari imekaa kishabiki kuliko uhalisia, upande wa pili sio habari za kushabikia ikiwa mnapenda kuongeza mapato ya kitalii.
Kama ni kweli kuna tukio kama hilo, suluhisho lilikuwa majadiliano na kulimaliza kidiplomasia.
Sio sahihi sana kuweka itikadi kwenye biashara.
Akili kibajaji hizi! Basi serikali ikishapiga marufuku ije na kwenye Bendera za Israel/ Saudiarabia kwenye biashara kadhaa....Ikitoka apo ije ipige na masanamu ya imani fulani kwenye majumba yetu maana nayo yanawakwaza watu wengine nk nk nk.... Biashara ni huru sehem X inakukwaza kwa huduma zao nenda sehem Y.... Ndo wale wale waliokua wanamsema Mzee Azam kua ni mdini lakini Mzee Marehem Mengi sio...Poor mindsetSerikali ya zanzibar ipo na inajivunia kupata hela kupitia utalii, ipige marufuku stika zote za namna hiyo ili kuepuka kukwaza wateja kutoka kwenye mataifa yanayosigana na mahasimu wao. Hata bara upuuzi huo wa mabango hayo upigwe marufuku, hela za watalii wa kiisrael na washirika wao tunazihitaji tufanye maendeleo yetu
Habari imeandikwa kwa kiingereza kwamba..."they were complaining "..!Unajua lugha ya mzungu ni sumbufu kwangu.Neno linaloendana na fujo sijaliona zaidi ya aliyeleta kutueleza kwenye kichwa cha habari.Anaitwa "green rajab"!Mkuu, maelezo yote yapo. Kuwa walilalamika na kuleta fujo. Sasa kama walileta fujo wangeachwa tu?
By the way, kilichowakwaza wao nini? Ingekuwa gari ya mteja mwenzao wangetaka iondolewe? Au kisa gari ya manager?
Supposedly, hiyo gari ni ya mtu mwingine tu tumfukuze kisa we unakwazika na maandishi yaliyo kwenye gari ya mtu?
Sishangai, ni kwakuwa huna experiences na utoaji wa huduma hizoMtakuwa mliwaamisha Hotel yenu ni kubwaaa kwenye marketing au website yenu wanafika wanakuta watu wanapishana kwenye corridor kiubavu ubavu halafu humo humo wanabishana mipira ambayo wao hata hawaijui, au mnafanyia birthdays na vi kitchen parties, hapo lazima pachimbike.
Tofautisha uwekaji wa bendera,misalaba,nyota na mwezi,kengele na sanamu sehemu za makanisa au imani fulani na kuweka hizo alama,bendera na mabango kwenye huduma za umma.Utakapo kufanya hayo ni vema ukawapa watumia huduma hadhari au bango linalojieleza kabisa.Akili kibajaji hizi! Basi serikali ikishapiga marufuku ije na kwenye Bendera za Israel/ Saudiarabia kwenye biashara kadhaa....Ikitoka apo ije ipige na masanamu ya imani fulani kwenye majumba yetu maana nayo yanawakwaza watu wengine nk nk nk.... Biashara ni huru sehem X inakukwaza kwa huduma zao nenda sehem Y.... Ndo wale wale waliokua wanamsema Mzee Azam kua ni mdini lakini Mzee Marehem Mengi sio...Poor mindset
So kwa ufinyu wako wa Medula neno "Free Palestine" ndo liwakwaze hao mashoga.... Kwanza wamecheleweshwa ilapaswa kua historia kwa sasa.....Unaishi maisha ya kukariri na kifua chako kimejazwa chuki uliyoimeza kwa hiyari yako.Nikikuuliza:Ni nini kibaya Waizraeli wamekufanyia wewe kama wewe utatusaidia jibu?
Anaweza akawa hana uzoefu na "utoaji" wa hizo huduma ila akawa "mtumiaji" wa hizo huduma.Na kutumia huduma hakumfungi kuzijua.Sishangai, ni kwakuwa huna experiences na utoaji wa huduma hizo
Nina experience kubwa sana, wabongo mnapenda kufanya kazi kwa mazoea na kutoweka u serious unaostahili, serikali yenye imeshalalamika watalii wengi wakija bongo mara moja hawarudi tena.Sishangai, ni kwakuwa huna experiences na utoaji wa huduma hizo
Umejibu swali nililokuuliza?Hao mashoga unaotushuhudia ulishawafira wangapi?So kwa ufinyu wako wa Medula neno "Free Palestine" ndo liwakwaze hao mashoga.... Kwanza wamecheleweshwa ilapaswa kua historia kwa sasa.....
wageni wameleta pesa badala ya kuwabembeleza unafukuza meneja wa hoteli anatakiwa atoe maelezoUmetafakari kwa kina au umekurupuka kumbuka Hilo ni gari binafsi ni kama wewe ukiwa na gari yako ndani umeweka bendera ya Chadema afu ukalipaki kazini kwako afu wafuasi wa CCM walalamike
Kwaiyo wajadiliane nini hapo zaidi ya ao Waisrael kukuambia toa ilo gari? Mbona mmejaza bendera za Israel kwenye magari yanu hakuna anaewapigia kelele?Hii habari imekaa kishabiki kuliko uhalisia, upande wa pili sio habari za kushabikia ikiwa mnapenda kuongeza mapato ya kitalii.
Kama ni kweli kuna tukio kama hilo, suluhisho lilikuwa majadiliano na kulimaliza kidiplomasia.
Sio sahihi sana kuweka itikadi kwenye biashara.
Sasa hizi ni story zako za kufikirika nje ya habari iliyoletwa hapa, hakuna sehemu katika habari imeelezwa hivyo.Wao walikuwa concerned na usalama wao .Sababu pale ni hoteli .Ina maana walipoingia hawakuona kitu kama hicho .Yawezekana huyo meneja baada ya kuona kuna waisrael hapo na ukereketwa wake wa kidini akaenda kuandika gari yake Free Palestine kwa makusudi ya kuwasuta au kuwapa mipasho hao wateja wake wayahudi.Hotel sio sehemu ya mwenye hotel au meneja kuwasuta au kuwapa mipasho wateja wake.Alichokifanya ni kuwapa mipasho na kuwasuta wateja wake kwa maandishi kwenye eneo la kupaki magari.Kibiashara haiko sahihi
Unajuaje kama walitaka kurudishiwa pesa zao Hotel wakaanza kuleta danadana??Sasa hizi ni story zako za kufikirika nje ya habari iliyoletwa hapa, hakuna sehemu katika habari imeelezwa hivyo.
Tuseme ilikuwa hivyo, umeona usalama wako uko hatarini ndio ufanye fujo? Usalama ukiwa hatarini best option ni kuhama hoteli au kufanya fujo?
Hizo pia ni stori za kufikirika, guys... tujadili kilicholetwa hapa.Unajuaje kama walitaka kurudishiwa pesa zao Hotel wakaanza kuleta danadana??
Ile ni biashara, inayohudumia wageni mbalimbali. Kwenye migogoro ya kimataifa hawakupaswa kuonyesha upande wao ni upi.H
Hata Marekani Kuna watu wanavaa tisheti zimeandikwa free palestine, wakati fulani free Mandela. Hiyo sio tatizo, ingekuwaje wangekuta mtu kaweka bendela ya Israel kwenye gari lake wangelalamika
Labda kama bango lemewekwa hotelini hiyo sio sawa
Uko sahihi kwenye suala hili.Hii habari imekaa kishabiki kuliko uhalisia, upande wa pili sio habari za kushabikia ikiwa mnapenda kuongeza mapato ya kitalii.
Kama ni kweli kuna tukio kama hilo, suluhisho lilikuwa majadiliano na kulimaliza kidiplomasia.
Sio sahihi sana kuweka itikadi kwenye biashara.