Zanzibar Wavuvi wapewa Boti za Kisasa, Bara kulikoni?

Zanzibar Wavuvi wapewa Boti za Kisasa, Bara kulikoni?

Husda ni Jambo baya sana. Bara inajengwa Reli ya maelfu ya kilomita na Zanzibar haina hata mradi wa km 1 wa Reli. Hizo pesa kama zingetumika kununua hizo boti kama za mwinyi, nadhani kila mvuvi angekuwa na boti yake ndogo ya uvuvi. Life iko hivyo.
Ghorofa refu kuliko maghorofa yote East Africa na Central Africa pia linajengwa Zanzibar lakini TZ bara hakuna pia, karibu mezani Mzee wa husda.
 
Rais wa Zanzibar ameonekana akigawa maboti mapya kwa ajili ya wavuvi wa huko kuachana na majahazi.

Jambo la kheri kabisa!

View attachment 2185461

Hata hivyo kwanini zoezi hili ni kwa Zanzibar tu?

Si kuwa kwa uwiano wa watu huku bara tulistahili mengi zaidi?

Kweli Zanzibar kumenoga.
Boti si samaki, utashangaa kusikia nyakati za usiku zinashafirisha abiria kwenda Pemba kusherehekea Iddi.
Huku walikuwepo TAFIKO chini ya wazungu walifanya vizuri sana na mabucha ya samaki walikuwa nayo mitaani, mzungu alipokabidhi mradi samaki wakahama nchi!
 
Hivi Zanzibar kuna ToZO, service levy, with holding tax, sidhani kama mkazi wa Zazinbar ana habari na Hii kitu, je Zanzibar mfanyabiasha ni lazima awe na efd machine?

Huko ni kazi na bata. Hivi hata bei ya petrol au diesel kwa Lita ni shs ngapi? Hivi kuna aliyesikia wakilalamika mfumuko wa bei?
 
Nikiwa raisi wazanzibari jiandaeni

Watakuwa wamejiandaa hata sasa:

2025 - 2030 Rais Mzanzibari
2030 - 2040 Rais Mzanzibari

2040 - 2050 Rais Mzanzibari kama hamtaki Muungano kwishney kila mtu asonge kivyake na abakie na vyake.

Hadi 2040 watakuwa wako kwenye mavuno kweri kweri.

Wajiandae mara ngapi mkuu?
 
Uchumi wa buruu..kupitia shamba la bibi Tanganyika..ila sio mbaya kuhonga demu ili uendelee kumtafuna..eneo lote la bahari la Tanganyika kwa koti la JMT.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kama wamepewa na Rais wao na hatujui hizo pesa zake zimetoka wapi tusilaumu, labda ni mapato yao ya ndani ndio yamewawezesha kufanya hivyo.
 
Rais wa Zanzibar ameonekana akigawa maboti mapya kwa ajili ya wavuvi wa huko kuachana na majahazi.

Jambo la kheri kabisa!

View attachment 2185461

Hata hivyo kwanini zoezi hili ni kwa Zanzibar tu?

Si kuwa kwa uwiano wa watu huku bara tulistahili mengi zaidi?

Kweli Zanzibar kumenoga.
Rais Mwinyi Jr anatekeleza ahadi aliyoitoa katika ilani ya chama chake aliyoinadi kwa wananchi mwaka 2020. Pamoja na mambo mengine alitoa ahadi kuhusu kuchochea uchumi wa bluu.

Alisisitiza wakati wa kampeni za uchaguzi kuwa ataimarisha na kuchochea matumizi bora ya rasilimali za bahari ikiwemo kuhakikisha anatoa vifaa bora vya uvuvi ikiwamo boti na meli za kisasa za uvuvi. Ni Rais mahiri sana asiyekuwa na makeke.
 
Kama wamepewa na Rais wao na hatujui hizo pesa zake zimetoka wapi tusilaumu, labda ni mapato yao ya ndani ndio yamewawezesha kufanya hivyo.

Labda ya mapato yetu ya ndani ndiyo tunayolipia chopper za kina Nape
 
Rais Mwinyi Jr anatekeleza ahadi aliyoitoa katika ilani ya chama chake aliyoinadi kwa wananchi mwaka 2020. Pamoja na mambo mengine alitoa ahadi kuhusu kuchochea uchumi wa bluu.

Alisisitiza wakati wa kampeni za uchaguzi kuwa ataimarisha na kuchochea matumizi bora ya rasilimali za bahari ikiwemo kuhakikisha anatoa vifaa bora vya uvuvi ikiwamo boti na meli za kisasa za uvuvi. Ni Rais mahiri sana asiyekuwa na makeke.

Yawezekana bali tulishaambiwa hatukuahidiwa katiba mpya
 
Ghorofa refu kuliko maghorofa yote East Africa na Central Africa pia linajengwa Zanzibar lakini TZ bara hakuna pia, karibu mezani Mzee wa husda.
Kwamba ni mapato ya ndani. Hadi 2040 kazi tunayo. Karume na wazanzibari kama SSH waliona mbali sana.

Kweli subira tafuta kheri na mvumilivu hula mbivu.
 
Rais wa Zanzibar ameonekana akigawa maboti mapya kwa ajili ya wavuvi wa huko kuachana na majahazi.

Jambo la kheri kabisa!

View attachment 2185461

Hata hivyo kwanini zoezi hili ni kwa Zanzibar tu?

Si kuwa kwa uwiano wa watu huku bara tulistahili mengi zaidi?

Kweli Zanzibar kumenoga.
Zanzibar kuna uchumi wa bluu huku Bara ngoja tupambane kwanza na mfumuko wa bei za bidhaa.
 
Watakuwa wamejiandaa hata sasa:

2025 - 2030 Rais Mzanzibari
2030 - 2040 Rais Mzanzibari

2040 - 2050 Rais Mzanzibari kama hamtaki Muungano kwishney kila mtu asonge kivyake na abakie na vyake.

Hadi 2040 watakuwa wako kwenye mavuno kweri kweri.

Wajiandae mara ngapi mkuu?
Yaandi hawa ni wakuwafanya koloni letu nyonya mpka basi
 
Muungano tuliungia wenyewe unatutafuna, tukaipoteza tanganyika sasa hatuna nchi

Nakazia: Karume snr na wazanzibari waliona mbali sana.

Shikamoni: SSH na Mwinyi jnr 😁😁.
 
Rais wa Zanzibar ameonekana akigawa maboti mapya kwa ajili ya wavuvi wa huko kuachana na majahazi.

Jambo la kheri kabisa!

View attachment 2185461

Hata hivyo kwanini zoezi hili ni kwa Zanzibar tu?

Si kuwa kwa uwiano wa watu huku bara tulistahili mengi zaidi?

Kweli Zanzibar kumenoga.
 
Nakazia: Karume snr na wazanzibari waliona mbali sana.

Shikamoni: SSH na Mwinyi jnr 😁😁.
Tulijiona wajanja tukasema tunawatawala sasa imekula kwetu yakhee. Ni sawa na S.A makaburu walivyowapa weusi uhuru wa kisiasa wakabaki na uchumi
 
Back
Top Bottom