- Thread starter
- #61
Tulijiona wajanja tukasema tunawatawala sasa imekula kwetu yakhee. Ni sawa na S.A makaburu walivyowapa weusi uhuru wa kisiasa wakabaki na uchumi
Umeeleza vyema kabisa yakhe.
"Tulijiona wajanja. Kama SA mzungu atapewa lini tena rungu?"
Wacha tuisome tu. 😁😁