Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aja kesho huko ami.Unguja haji?
usiende kwani ni lazima kwenda kwenye huo mkutano?Wafanyakazi wa serikali WAMELAZIMISHWA kwenda kusikiliza hotuba ya Rais Pemba
Tena wataitwa kabisa majina yao kuona nani hajafika
Upuuzi sana huu usio na tija yyt kwa mfanyakazi wa Pemba
Naomba sana sana asome hotuba aliyoandikiwa.
Rais ni KIONGOZI mkuu wa serikali,wasipo enda wataadhibiwa! AMBAO hawakwenda kukesha na Mwenge Serengeti wana jadiliwa huko!usiende kwani ni lazima kwenda kwenye huo mkutano?
Yaani watu waache kazi? sasa kunatofautian gani na kukataza watu siasa huku wanaambiwa wafanye kazi sasa Tangazo hilo linawataka Waache kazi waende siasani
ni upuuzi kulazimisha vitu ambacho havina maana yoyote ingekuwa ni mimi nisingeenda .Rais ni KIONGOZI mkuu wa serikali,wasipo enda wataadhibiwa! AMBAO hawakwenda kukesha na Mwenge Serengeti wana jadiliwa huko!
Udikteta huu
Kwani makamu amesharudi?Naona anatumia Air Tanzania aka Pangaboy
Usikute ile ndege ya Jk ameshaipiga mnada. Maana jamaa kwa kubana matumizi namsifu
Roll call lazima.Wafanyakazi wa serikali WAMELAZIMISHWA kwenda kusikiliza hotuba ya Rais Pemba
Tena wataitwa kabisa majina yao kuona nani hajafika
Upuuzi sana huu usio na tija yyt kwa mfanyakazi wa Pemba
Kwani hiyo ndege nayo si ajira pia kwa watu?Kwel nineamini ajira sio kipaumbele cha serikali hii, yani ndege zinanunuliwa lakini ajira nooh
hotuba..... au soga?Nasubiri hotuba!
Mi nimeongelea ajira alizositisha. kwani kila mtu ni pilot au izo kaz ulizo taja, katka ajira alizositisha kunao hata kada moja ambayo imeajiriwa kutokana na kuletwa kwa izo ndege. try to be smart brother.Kwani hiyo ndege nayo si ajira pia kwa watu?
Ebu fikiria kuanzia kwenye hiyo ndege,marubani,mafundi, cabin crew, wabeba mizigo,wasafishaji, waongozaji, walinzi, check in clerks, immigration officials. Baada ya hapo nenda kwenye secondary business: Ground transportation, migahama na mahotel, maduka...
Hivi vyote utavikuta ndani ya aviation industry na vinatoa ajira nyingi sana na msingi ni...Hiyo ndege.
Kwa kulazimisha wafanyakaz kwenda kwenye mkutano wake? it doesn't work like tht brotherRais anaizika rasmi Cuf Zanzibar
Sasa wewe na pemba wapi na wapi?Kwa kulazimisha wafanyakaz kwenda kwenye mkutano wake? it doesn't work like tht brother
Na aruhusu cuf nao wafanye mkutano hapo hapo ili tulinganishe na mkutano wake ili tuone nani kamzika nani, we unashindana peke yako bila rival af mwisho wa siku unakuja kujisifia eti umeshinda?Rais anaizika rasmi Cuf Zanzibar