Rhobi1961
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 888
- 682
Kesho anatua maeneo hayo mkuu usijali.Unguja haji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho anatua maeneo hayo mkuu usijali.Unguja haji?
Unajuaje kama sitokei pemba?Sasa wewe na pemba wapi na wapi?
Huoni sauti yako tu huwezi kusema nchi unasema nji.Unajuaje kama sitokei pemba maza?
ikiwa hukuenda na kazi hunayo tenausiende kwani ni lazima kwenda kwenye huo mkutano?
Nasubiri hotuba!
hivi mda mwengine huwa hujichekeshi na pumba unazo zipost hapa?Rais anaizika rasmi Cuf Zanzibar
Hata Mie YakheeeNasubiri hotuba!
Ahahaha,uko sahihi!naona uzi umepoooa!Usipoyaalika "makolokolo" ya huko Lumumba kuja kupanga foleni hapa,Uzi huu unaweza kupatwa na jua kiasi cha kuufanya usionekane na kusababisha ukose wachangiaji.Watu walishachoka kusikia hotuba zisizo na "uti wa mgongo" zinazofuatwa na masahihisho baada ya kutolewa majukwaani.
Miaka yote bado mnajenga tu.. ama kweli msingi wake haukuwa imaraHotuba murua itatoka leo ya kujenga na kuimarisha Muungano
Akaribie kwenye mkutano na wafanyakazi wa serikali tu! Wengine siyo wake period!Rais John Magufuli atua Pemba muda mfupi uliopita akiwa na mkewe Mama Janeth Magufuli baada ya mapokezi yaliyombatana na kikundi cha ngoma, ameenda kuzulu kaburi la aliyekuwa Makamu wa Rais, Dk Omary Ali Juma. Baadaye saa tisa alasiri atafanya mkutano wa hadhara katika uwanja wa Gombani ya Kale, Pemba.
==========
![]()
![]()
Hata wafanyeje, ningekuwa Pemba nisiongeenda. Wakati wa kumuaga kikwete waliwataka walimu wote wa temeke waende uwanja wa taifa. Niligoma kwa nguvu zote na hakuna kilichotokea.Rais ni KIONGOZI mkuu wa serikali,wasipo enda wataadhibiwa! AMBAO hawakwenda kukesha na Mwenge Serengeti wana jadiliwa huko!
Udikteta huu
IKO SWAZLAND KULE ALIKOOGOPA KWENDAHivi kumbe mkulu Natumia air tanzania? Ile iliyonunuliwa na mkwele ikwap
Very intelligent point mr.croco D'..Kwani hiyo ndege nayo si ajira pia kwa watu?
Ebu fikiria kuanzia kwenye hiyo ndege,marubani,mafundi, cabin crew, wabeba mizigo,wasafishaji, waongozaji, walinzi, check in clerks, immigration officials. Baada ya hapo nenda kwenye secondary business: Ground transportation, migahama na mahotel, maduka...
Hivi vyote utavikuta ndani ya aviation industry na vinatoa ajira nyingi sana na msingi ni...Hiyo ndege.
Akaribie kwenye mkutano na wafanyakazi wa serikali tu! Wengine siyo wake period!
ILE NDEGE YA RAISI ANAITUMIA YULE MAMA ANAYEJUA KIINGEREZA KULE SWAZLANDNaona anatumia Air Tanzania aka Pangaboy
Usikute ile ndege ya Jk ameshaipiga mnada. Maana jamaa kwa kubana matumizi namsifu
HAIWEZEKANI LAZMA AWEKE REMIX KIDOGO HASA WAKIPIGA WATU MAKOFINaomba sana sana asome hotuba aliyoandikiwa.