Kuna mengi mazuri yenye faida kwa Taifa letu anayoongea Rais wetu Mhe.John Pombe Magufuli , lakini kuna baadhi ya watu ambao naweza kuwaita ni wachochezi ambao wananukuu ka kipengele kadogo na kuanza kumshambulia Rais.
Tafadhali tuulishe umma mambo yenye faida ambayo watanzania watanufaika nayo si kuandika mambo negative kwa Rais.
Kwanza mengine Rais anayaongea kama kufurahisha tu . Tafadhali watu wenye tabia hizi waache.
Nimependa andiko lako...lakini kumbuka kuwa hiyo ni mbinu na mkakati wa kisiasa wa upinzani na ambao umeandaliwa mahsusi ili aonekane Rais hafai...Sana sana wanatumia mitandao, wako ambao humu JF wana ID mpaka 15 kwa ajili hiyo tu, ya kuchukua vipande vya hotuba za JPM na kuanza kujenga hoja...ni ulimwengu wa teknolojia, ni namna mpya ya kumchafua Rais na mamlaka, ila ni bahati mbaya kwamba mamlaka haijagundua hilo au inapuuza....
Nadhani itakua mimba changanahisi kichefu chefu
Huu ni mtizamo wako lakini kuna wengine nao wansema amefumua vidonda.Ni baada ya kuwepo sintofahamu kubwa tangia uchaguzi uliokuwa na vijimambo Vingci kuisha,amesema anataka Umoja,kwa uhakika speech zake zimejaa Hekima ,busara na matumaini makubwa kwa wananchi wa Zanzibar,ni matumaini yangu kuwa visit yake imeketa mshikamano mkubwa baina ya wanachama wa CCM na CUF,hakika rais tumempata umoja wa kitaifa Zanzabar kuimarika Mara dufu Ndimi Cheyo Mlema,Prospectus DC
Nawashangaa sana. Hapa unguja na pemba pametokea wizi wa KURA. Huwezi kuhalilalisha haramu. Haiwezekani leo musema eti yamekwisha na kusahau mumekataliwa na wazanzibari. Sisi hatukuwapigia KURA CCM. Kinachoendelea ni UKOLONI wa muafrika dhidi ya muafrika mwenzake kwa kisingizio. Hatukubali uraisi huuu na utawala wake. Huyo kibaraka hawezi kwenda hata msikitini anaogopa watu wanamzomea kila endapo. Anatutishia jeshi na vyombo vya usalama. YAGUJU. Huo umewaganda wala sio MAKUFULI wala MABOMU yatakayo wasaidia. Mwaka huu tunakwenda sambamba mpaka kieleweke.
Wacha kutuchekesha weweNi baada ya kuwepo sintofahamu kubwa tangia uchaguzi uliokuwa na vijimambo Vingci kuisha,amesema anataka Umoja,kwa uhakika speech zake zimejaa Hekima ,busara na matumaini makubwa kwa wananchi wa Zanzibar,ni matumaini yangu kuwa visit yake imeketa mshikamano mkubwa baina ya wanachama wa CCM na CUF,hakika rais tumempata umoja wa kitaifa Zanzabar kuimarika Mara dufu Ndimi Cheyo Mlema,Prospectus DC
Huyu anajua, ila anachokoza tu!Huu ni mtizamo wako lakini kuna wengine nao wansema amefumua vidonda.
Binafsi ningefurahi kama wangewaelekeza walioshinda uchaguzi kuufanya mkutano ule uwe wa kiserikali zaidi kuliko ulivyoonekana leo kuwa wa CHAMA zaidi.
Rais wa Jamhuri ni John Pombe Magufuli na Zanzibar ni SHEIN hilo linaulikana na hakuna haja ya kutaja ndevu za mtu.
Mleta mada kaamua kuwachekesha walio nunaAtakayeleta fyoko fyoko uniambie hapa pana mshikamano wa nguvu karudisha mshikamano
Mleta mada kaamua kuwachekesha walio nuna
Akili zako sio timamu! Iko siku utalipa gharama za huu ujinga ulioandika hapa.Ni baada ya kuwepo sintofahamu kubwa tangia uchaguzi uliokuwa na vijimambo Vingci kuisha,amesema anataka Umoja,kwa uhakika speech zake zimejaa Hekima ,busara na matumaini makubwa kwa wananchi wa Zanzibar,ni matumaini yangu kuwa visit yake imeketa mshikamano mkubwa baina ya wanachama wa CCM na CUF,hakika rais tumempata umoja wa kitaifa Zanzabar kuimarika Mara dufu Ndimi Cheyo Mlema,Prospectus DC