Zanzibar: Yaliyojiri kwenye ziara ya Rais Magufuli kisiwani Pemba - Sept 2016: Ampongeza Jecha kusimamia uchaguzi vizuri

Zanzibar: Yaliyojiri kwenye ziara ya Rais Magufuli kisiwani Pemba - Sept 2016: Ampongeza Jecha kusimamia uchaguzi vizuri

Kuna mengi mazuri yenye faida kwa Taifa letu anayoongea Rais wetu Mhe.John Pombe Magufuli , lakini kuna baadhi ya watu ambao naweza kuwaita ni wachochezi ambao wananukuu ka kipengele kadogo na kuanza kumshambulia Rais.

Tafadhali tuulishe umma mambo yenye faida ambayo watanzania watanufaika nayo si kuandika mambo negative kwa Rais.

Kwanza mengine Rais anayaongea kama kufurahisha tu . Tafadhali watu wenye tabia hizi waache.
 
Nimependa andiko lako...lakini kumbuka kuwa hiyo ni mbinu na mkakati wa kisiasa wa upinzani na ambao umeandaliwa mahsusi ili aonekane Rais hafai...Sana sana wanatumia mitandao, wako ambao humu JF wana ID mpaka 15 kwa ajili hiyo tu, ya kuchukua vipande vya hotuba za JPM na kuanza kujenga hoja...ni ulimwengu wa teknolojia, ni namna mpya ya kumchafua Rais na mamlaka, ila ni bahati mbaya kwamba mamlaka haijagundua hilo au inapuuza....

Hivi mtu anaweza kukuchafua kwa kunukuu maneno yako?
 
Nimechaguliwa na maskini na nitawatumikia maskini! Mmh sasa watu wawe maskini forever!
 
Ni baada ya kuwepo sintofahamu kubwa tangia uchaguzi uliokuwa na vijimambo Vingci kuisha,amesema anataka Umoja,kwa uhakika speech zake zimejaa Hekima ,busara na matumaini makubwa kwa wananchi wa Zanzibar,ni matumaini yangu kuwa visit yake imeketa mshikamano mkubwa baina ya wanachama wa CCM na CUF,hakika rais tumempata umoja wa kitaifa Zanzabar kuimarika Mara dufu Ndimi Cheyo Mlema,Prospectus DC
 
Mbona mgonjwa bado hali inazidi dorora au wana maombi mmerudi nyuma?
 
Mzee wa vitisho kama kawaida yake hatar tupu
 
Ni baada ya kuwepo sintofahamu kubwa tangia uchaguzi uliokuwa na vijimambo Vingci kuisha,amesema anataka Umoja,kwa uhakika speech zake zimejaa Hekima ,busara na matumaini makubwa kwa wananchi wa Zanzibar,ni matumaini yangu kuwa visit yake imeketa mshikamano mkubwa baina ya wanachama wa CCM na CUF,hakika rais tumempata umoja wa kitaifa Zanzabar kuimarika Mara dufu Ndimi Cheyo Mlema,Prospectus DC
Huu ni mtizamo wako lakini kuna wengine nao wansema amefumua vidonda.
Binafsi ningefurahi kama wangewaelekeza walioshinda uchaguzi kuufanya mkutano ule uwe wa kiserikali zaidi kuliko ulivyoonekana leo kuwa wa CHAMA zaidi.
Rais wa Jamhuri ni John Pombe Magufuli na Zanzibar ni SHEIN hilo linaulikana na hakuna haja ya kutaja ndevu za mtu.
 
Nawashangaa sana. Hapa unguja na pemba pametokea wizi wa KURA. Huwezi kuhalilalisha haramu. Haiwezekani leo musema eti yamekwisha na kusahau mumekataliwa na wazanzibari. Sisi hatukuwapigia KURA CCM. Kinachoendelea ni UKOLONI wa muafrika dhidi ya muafrika mwenzake kwa kisingizio. Hatukubali uraisi huuu na utawala wake. Huyo kibaraka hawezi kwenda hata msikitini anaogopa watu wanamzomea kila endapo. Anatutishia jeshi na vyombo vya usalama. YAGUJU. Huo umewaganda wala sio MAKUFULI wala MABOMU yatakayo wasaidia. Mwaka huu tunakwenda sambamba mpaka kieleweke.
Laugh-Meme-05.jpg
 
Ni baada ya kuwepo sintofahamu kubwa tangia uchaguzi uliokuwa na vijimambo Vingci kuisha,amesema anataka Umoja,kwa uhakika speech zake zimejaa Hekima ,busara na matumaini makubwa kwa wananchi wa Zanzibar,ni matumaini yangu kuwa visit yake imeketa mshikamano mkubwa baina ya wanachama wa CCM na CUF,hakika rais tumempata umoja wa kitaifa Zanzabar kuimarika Mara dufu Ndimi Cheyo Mlema,Prospectus DC
Wacha kutuchekesha wewe
 
Huu ni mtizamo wako lakini kuna wengine nao wansema amefumua vidonda.
Binafsi ningefurahi kama wangewaelekeza walioshinda uchaguzi kuufanya mkutano ule uwe wa kiserikali zaidi kuliko ulivyoonekana leo kuwa wa CHAMA zaidi.
Rais wa Jamhuri ni John Pombe Magufuli na Zanzibar ni SHEIN hilo linaulikana na hakuna haja ya kutaja ndevu za mtu.
Huyu anajua, ila anachokoza tu!
 
Kweli kila mtu ana mtazamo wake. Hata hivyo, maoni yangu mimi, baadhi ya kauli za mkuu huko zenji hazijengi wala kuhuisha umoja wa kitaifa.
 
Ni baada ya kuwepo sintofahamu kubwa tangia uchaguzi uliokuwa na vijimambo Vingci kuisha,amesema anataka Umoja,kwa uhakika speech zake zimejaa Hekima ,busara na matumaini makubwa kwa wananchi wa Zanzibar,ni matumaini yangu kuwa visit yake imeketa mshikamano mkubwa baina ya wanachama wa CCM na CUF,hakika rais tumempata umoja wa kitaifa Zanzabar kuimarika Mara dufu Ndimi Cheyo Mlema,Prospectus DC
Akili zako sio timamu! Iko siku utalipa gharama za huu ujinga ulioandika hapa.
 
Back
Top Bottom