Zanzibar: Yaliyojiri kwenye ziara ya Rais Magufuli kisiwani Pemba - Sept 2016: Ampongeza Jecha kusimamia uchaguzi vizuri

Hivi kumbe mkulu Natumia air tanzania? Ile iliyonunuliwa na mkwele ikwap
 
Nasubiri hotuba!
Hata Mie Yakheee
! Ahahaha,uko sahihi!naona uzi umepoooa!
 
Akaribie kwenye mkutano na wafanyakazi wa serikali tu! Wengine siyo wake period!
 
Naskia kuna watu wanalazimishwa kwenda mkutanon

Ila sijui kwanini magufuli anapenda kuzuru sehemu ambazo hakubalik ila analazimisha

Yeye awe anaenda dodoma vijijin ndio kuna wafuas wake wengi
 
Rais ni KIONGOZI mkuu wa serikali,wasipo enda wataadhibiwa! AMBAO hawakwenda kukesha na Mwenge Serengeti wana jadiliwa huko!
Udikteta huu
Hata wafanyeje, ningekuwa Pemba nisiongeenda. Wakati wa kumuaga kikwete waliwataka walimu wote wa temeke waende uwanja wa taifa. Niligoma kwa nguvu zote na hakuna kilichotokea.
Mkataba wetu wala sheria za ajira hazimulazimishi mtumishi wa umma kuhudhuria mikutano ya kiserikali.
Labda vizuu wataburuzwa kwa sana tu.
 
Very intelligent point mr.croco D'..
 
Akaribie kwenye mkutano na wafanyakazi wa serikali tu! Wengine siyo wake period!

Sheria ya uchaguzi ukishachaguliwa unakuwa kiongozi wa wote waliokupa kura na waliokunyima kura! Mbunge,diwani,na raisi wakishashinda uchaguzi wanakuwa viongozi wa wote bila kujali ulimpa kura au hukumpa.Hapo hata kama pemba nzima hawakumpa kura huyo ndio raisi.Raisi hawezi kuwa Seif WALA lowasa.
 
hivi kumbe air tanzania wana ndege tayar...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…