Hongera kwa kuandika post ya 202... BIG UP!!Ulikuwa unategemea aseme atakayeshindikana kwa Dr Shein ataitwa na Magu wapate juisi ikulu Kikwete aliwalea mkajisahau .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera kwa kuandika post ya 202... BIG UP!!Ulikuwa unategemea aseme atakayeshindikana kwa Dr Shein ataitwa na Magu wapate juisi ikulu Kikwete aliwalea mkajisahau .
Umeielewa vibaya kauli ya Raisi nadhani. Kama na ww ni mmoja wa hao wanaotaka kuleta vurugu hiyo kauli lazima ikutishe lakin kama ni mmoja wa wapenda amani hiyo kauli hata haikuhusu kabisa
Na hata hapa washasema kwamba "nimemuelewa vibaya!" lakini kila niliyemuomba anipe ufafanuzi wa usahihi wa hiyo kauli, bado ufafanuzi sijapata na sidhani kama nitakuja kuupata!!Kesho atajitokeza waziri wa muungano atasema rais alikuwa anawatania watani zake wapemba
Magufuli arudi kwa waliomtangulia ili wamuelimishe kuhusiana na siasa za visiwa vya unguja na pembaUlikuwa unategemea aseme atakayeshindikana kwa Dr Shein ataitwa na Magu wapate juisi ikulu Kikwete aliwalea mkajisahau .
Kuhusu barabara ya makumbusho stand hivi ipo chini ya Tanroads au Manispaa?True.
Sasa hivi mtu ukisoma magazeti kila mada kuu inayomhusu Rais ina theme ya Vitisho.
Tumechoka na hii theme moja ya kila kitu vitisho tu. Wananchi tunataka tuone mabadiliko. Kuna sekta kama elimu, ajira, viwanda na usafirishaji bado ni duni. Tunataka kuona changes. Hata bara bara ya stendi za Makumbusho na Mawasiliano mpaka leo tangu stendi zianzishwe hazijengwi katika kiwango cha maana?
Tunahitaji kuona hali ya Tanzania inabadilika. Bado kuna safari ndeefu sana kuboresha maendeleo ya nchi.
Imepenya hiyo!Maneno kibaoo utafikiri unafunda mwari ngomani au upo kichen party vile! kama we ni mwanaume ingia barabarani , yaani wewe kwenye hotuba yote umeliona hilo tu? nyie ndio propanda machines