Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 5,566
- 5,477
Labda unadhani kutumia Fake ID kwako ni usalama... kama ndivyo ulivyodhani, you need to think twice!!
ACHA VITISHO MBURURA, 'YOU CAN GO TO HELL'! NANI ANAOGOPA KUUWAWA NA 'ZOMBIES' WA AINA YAKO? MNAWEZA KUTISHA NA KUUMIZA AU HATA KUUA WATU, LAKINI DOLA YETU DAIMA ITABAKI KATIKA MIKONO SAFI NA SALAMA!