Zanzibar: Yaliyojiri kwenye ziara ya Rais Magufuli kisiwani Pemba - Sept 2016: Ampongeza Jecha kusimamia uchaguzi vizuri

Zanzibar: Yaliyojiri kwenye ziara ya Rais Magufuli kisiwani Pemba - Sept 2016: Ampongeza Jecha kusimamia uchaguzi vizuri

Labda unadhani kutumia Fake ID kwako ni usalama... kama ndivyo ulivyodhani, you need to think twice!!

ACHA VITISHO MBURURA, 'YOU CAN GO TO HELL'! NANI ANAOGOPA KUUWAWA NA 'ZOMBIES' WA AINA YAKO? MNAWEZA KUTISHA NA KUUMIZA AU HATA KUUA WATU, LAKINI DOLA YETU DAIMA ITABAKI KATIKA MIKONO SAFI NA SALAMA!
 
alibeba tuzo ya jecha nini? huku lubuva nae anadai yake
 
Magufuli ni chaguo la Mungu.
Kama umpendi nenda kwa Ngwajima akupe dawa..

Kama unataka demokrasia kaishi iraq au libya.
 
hongera yake mbarikiwa nashukuru hata kuiona pic ya ndege Maana kuipanda ni miujiza
 
We uli
Hapo Magufuli wetu akionekana kwa mbali dirishani mwa Air Tanzania yetu!

Z1.JPG


Raisi Magufuli wetu akishuka ktk kwenye Air Tanzania yetu!
Z2.JPG

(Picha kwa hisani ya Blogu ya Michuzi!)

Air Tanzania imefufuka!
We ulitaka apande Fast Jet au Precision air?
 
Pangaboi imeanza kufanya kazi? Hongera sana Mhishimiwa.
 
Si mbaya kama ilikuwa na ruti ya kwenda.pia si mbaya kama serikali iliikodi kwani si ni yake ?
 
Magufuli ni chaguo la Mungu.
Kama umpendi nenda kwa Ngwajima akupe dawa..

Kama unataka demokrasia kaishi iraq au libya.



Hiyo kamata kamata ya chini kwa chini bila familia kujua kama mtu kaenda wapi , baada miezi 3 ndio mnamuachia baada ya kumtesa .

Wale mahabusu aliowaona lissu wanaokwenda kuteswa usiku , wewe unafurahia , au ndio buku za Lumumba zinakutoa ubinadamu ??
 
Back
Top Bottom