ndoze
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 1,187
- 1,108
Ndege si ndo itapiga kura 2020, haina shida. Anunue tu na nyingine nyingi ili zipige kuraSasa serikali iache kununua ndege kisa wewe huna ajira?
Hivi ajira unaitafsiri vipi kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndege si ndo itapiga kura 2020, haina shida. Anunue tu na nyingine nyingi ili zipige kuraSasa serikali iache kununua ndege kisa wewe huna ajira?
Hivi ajira unaitafsiri vipi kwanza
Magufuli ni chaguo la Mungu.
Kama umpendi nenda kwa Ngwajima akupe dawa..
Kama unataka demokrasia kaishi iraq au libya.
Mwandiko wako utafikiri darasa la tano
Jamaa amepanda ndege?
duhKupatwa kwa dunia!!
Tunashukuru serekali kuichagua pemba kuwa sehemu ya Kupatwa kwa dunia.
huyo raisi na hayupo kutangaza chamaMikutano hairuhusiwiiii
Hujitambui boya wewe!! Hivi unafahamu kwanini niliandika hivyo au unakurupuka tu na kuanza kumwaga povu hapa bila kutafakari?! Au ndo umepata smartphone cku za karibuni kwahiyo ulikuwa na mshawasha wa social networks?!ACHA VITISHO MBURURA, 'YOU CAN GO TO HELL'! NANI ANAOGOPA KUUWAWA NA 'ZOMBIES' WA AINA YAKO? MNAWEZA KUTISHA NA KUUMIZA AU HATA KUUA WATU, LAKINI DOLA YETU DAIMA ITABAKI KATIKA MIKONO SAFI NA SALAMA!
Mi nilikuona wa maana kiasi cha kuifanya 'quote' yako signature yangu, nashangaa unaanza kuchimba watu 'mikwara uchwara', sa'sindo'nkakuchenjia! Sorry bro!Hujitambui boya wewe!! Hivi unafahamu kwanini niliandika hivyo au unakurupuka tu na kuanza kumwaga povu hapa bila kutafakari?! Au ndo umepata smartphone cku za karibuni kwahiyo ulikuwa na mshawasha wa social networks?!
Hivi ulishaanza kujiuliza ni kwanini niliandika hivyo?!Mi nilikuona wa maana kiasi cha kuifanya 'quote' yako signature yangu, nashangaa unaanza kuchimba watu 'mikwara uchwara', sa'sindo'nkakuchenjia! Sorry bro!
EXPLAIN!Hivi ulishaanza kujiuliza ni kwanini niliandika hivyo?!
za nini , mkuu?Una milioni 7 mkuu?
Kuna mengi mazuri yenye faida kwa Taifa letu anayoongea Rais wetu Mhe.John Pombe Magufuli , lakini kuna baadhi ya watu ambao naweza kuwaita ni wachochezi ambao wana nukuu ka kipengele kadogo na kuanza kumshambulia Rais ,Tafadhali tuulishe uma mambo yenye faida ambayo watanzania watanufaika nayo si kuandika mambo negative kwa Rais. Kwanza mengine Rais anayaongea kama kufurahisha tu . Tafadhali watu wenye tabia hizi waache.