Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kujifanya limbukeni wakati upo timamuMimi bado natafakari kauli ya juzi ya Mtukufu rais akimwambia Shein kwamba akimshindwa mtu amwambie yeye, na hazitapita hata dakika 5!
Hivi anamaanisha ndani ya dakika 5 atamfanya nini huyo mtu? Mi bado naona mapichapicha ambayo siyaelewi!!
Lugummmi amemshindwa vipi??Acha kujifanya limbukeni wakati upo timamu
Magufuli akiamua kumshughulikia mtu ndani ya Jamhuri hii atashindwa vipi?
Umesahau kama kuna Mungu!Acha kujifanya limbukeni wakati upo timamu
Magufuli akiamua kumshughulikia mtu ndani ya Jamhuri hii atashindwa vipi?
Mimi bado natafakari kauli ya juzi ya Mtukufu rais akimwambia Shein kwamba akimshindwa mtu amwambie yeye, na hazitapita hata dakika 5!
Hivi anamaanisha ndani ya dakika 5 atamfanya nini huyo mtu? Mi bado naona mapichapicha ambayo siyaelewi!!
Kama kawaida yake, watu wataanza kupotea ndani ya dakika tano!Alichomekea tu kama kawaida yake!
None!mwl nyerere alikuwa akitoa hotuba yake tena bila ya kuandikiwa popote pale basi hotuba iyo inaweza kuwa yenye mafundisho makubwa na yenye kukubalika na kila mtu nje na ndani ya nchi yetu je kwaivi sasa kuna kiongozi wa afrika ambaye hotuba yake inaweza kuwa na mafundisho walau ikadumu kwa nusu siku tu naomba majibu yenu wadau?
Tatzo haliondelewi kwa nguvu ww wakati mwingne busara itumike acha kupelekwapelekwa kisa ww ni kada kila upuuzi unasuport 2 tumia elimu yako kufikiri broHivyo siyo visasi ni kuondoa tatizo. Asiye na nidhamu au uadilifu atatumbuliwa. Watumishi wa umma walijisahau sana wakawa mabosi wa wananchi badala ya wahudumu wao.
Mkuu anamshughulikiaje?Acha kujifanya limbukeni wakati upo timamu
Magufuli akiamua kumshughulikia mtu ndani ya Jamhuri hii atashindwa vipi?
Mbona ni rahisi tu mkuu....Nadhani atawaagiza wale jamaa wa miwani mieusi wampeleke jehanamu.....Mimi bado natafakari kauli ya juzi ya Mtukufu rais akimwambia Shein kwamba akimshindwa mtu amwambie yeye, na hazitapita hata dakika 5!
Hivi anamaanisha ndani ya dakika 5 atamfanya nini huyo mtu? Mi bado naona mapichapicha ambayo siyaelewi!!
Duh kwahiyo mabwepande inahusika hapo?Mbona ni rahisi tu mkuu....Nadhani atawaagiza wale jamaa wa miwani mieusi wampeleke jehanamu.....
haya matamshi siyo ya kuchekelea!Duh kwahiyo mabwepande inahusika hapo?
Mkuu,, we wasema....Duh kwahiyo mabwepande inahusika hapo?
Ndoto ya kufikirika kama sinema ya ramboMimi bado natafakari kauli ya juzi ya Mtukufu rais akimwambia Shein kwamba akimshindwa mtu amwambie yeye, na hazitapita hata dakika 5!
Hivi anamaanisha ndani ya dakika 5 atamfanya nini huyo mtu? Mi bado naona mapichapicha ambayo siyaelewi!!