FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
- Thread starter
- #41
Sasa wewe unatukumbusha uchaguzi uleee, kisa kilichomkuta mamvi. Si ya kucheka lakini nadhani hii huduma ingekuwepo chadema wasingekubali mgombea wao yamtokee yale.Nasikia wanaojinyea kwa bahati mbaya pia itawasaidia Pempass?