Zanzibar yazinduwa mfumo wa bima ya kiislam

Zanzibar yazinduwa mfumo wa bima ya kiislam

Mkanisa yanabomolewa

Mkristo akila kwenye ramadani anafungwa jela

Hawa hata wakitoka huko Zanzibar akili yao ipo kuutukuza uislam zaidi, tena ule wa kuwaona waarabu wote ni ndugu wa mtume, wakija kuongoza huku huwapa waarabu mbuga, bandari, misitu, n.k.
Jinyonge au zuia
 
Hapa jiwe gizani limempata muhusika, vyovyote ilivyo hizi IDs ni za mtu mmoja aliyekotiwa mwengine aliyejibu mwengine nadhani ni baada ya kuona notification ukapanic ukashindwa kupanga vizuri karata zako I'd ipi ijibu kipi I'd ipi isijibu kipi.

Wenye akili tunaelewa
Ma shaa Allah. Katafute maana ya sentensi " Inna ma Almuuminin ikhwa".

Kama unajuwa kutumia google utalipata jibu.

Pia tazama habari za Ufaransa, chanzo cha machafuko huko ni nini, utalipata jibu.
Wewe utakuwa umelewa ali-kasus wewe!

Ulichoandika hapo na nilichoandika mimi unaona vinashabihiana?multiple IDs zitakuuwa hoja uliyoandika sehemu nyengine kwa I'd nyingine unaijibu hapa kwa I'd nyingine.
 

Zanzibar yazinduwa mfumo wa bima ya kiislam​


Jionee mwenyewe:



Bima ya Kiislam uendeshwaji wake huitwa "Takaful: nikamuuliza AI ChatGPT anifafanunulie:


Ni nini bima ya Takaful?

Bima ya Takaful ni mfumo wa bima uliojikita katika misingi ya Kiislamu ambao unalenga kutoa ulinzi na usalama wa kifedha kwa wanachama wake. Tofauti na mfumo wa bima wa kawaida, ambapo kampuni ya bima ina jukumu la kubeba hatari zote za wanachama na kutoa fidia kwa madai yanayotokea, mfumo wa Takaful unafanya kazi kwa msingi wa ushirikiano na kugawana hatari kati ya wanachama.

Katika mfumo wa Takaful, wanachama hukubaliana kuweka michango ya kifedha katika mfuko wa pamoja, ambao unatumika kulipia madai ya wanachama wanaopatwa na hasara. Michango hii inatumika kujenga hazina ya Takaful ambayo inasimamiwa na kampuni ya Takaful. Ikiwa mwanachama anapata hasara, hulipwa fidia kutoka kwenye hazina hiyo.

Mfumo wa Takaful unazingatia misingi ya Kiislamu kama vile kugawana hatari, uwazi, ushirikiano, na kuepuka riba (riba ni haramu katika Uislamu). Pia, mfumo wa Takaful unazingatia maadili ya kijamii na kusaidiana katika jamii.

Kuna aina mbalimbali za bima ya Takaful, kama vile Takaful ya afya, Takaful ya gari, Takaful ya elimu, na nyinginezo. Lengo la bima ya Takaful ni kutoa ulinzi wa kifedha na usalama kwa wanachama wake wakati wa matukio ya hatari na hasara.

hanzo: https://chat.openai.com/

Nao wakristo wa Zanzibar waanzishe wao
 
Bima ni bima hakuna ya Kikristu Wala ya kiislam principle za bima ndio hiyo hiyo ya third part kwenye doctrine of privity to contract.

Mikopo hata mkiita jina gani faida itokanayo na fedha ya mkopo ni riba tuu. Mengine ni kujitekenya na kucheka mwenyewe
FAIDA na RIBA haviwezi kua sawa. Kama ilivyokuwa haviwezi kua sawa kati ya tendo la kujamiana baina ya WANANDOA WAWILI na MALAYA WAWILI.
FAIDA ni ZIADA ya MAUZO dhidi ya MANUNUZI/GHARAMA wakati RIBA ni ZIADA itokanayo na MABADILISHANO ya BIDHAA/HUDUMA zinazofanana (Shilingi 500 vs 700, Magunia 5 ya Michele wa Mbea vs Magunia 8, ujenzi wa Banda la kuku 1 vs mabanda 2 etc).
FAIDA ni pato HALALI
RIBA ni pato la WIZI/DHULMA.
 
FAIDA na RIBA haviwezi kua sawa. Kama ilivyokuwa haviwezi kua sawa kati ya tendo la kujamiana baina ya WANANDOA WAWILI na MALAYA WAWILI.
FAIDA ni ZIADA ya MAUZO dhidi ya MANUNUZI/GHARAMA wakati RIBA ni ZIADA itokanayo na MABADILISHANO ya BIDHAA/HUDUMA zinazofanana (Shilingi 500 vs 700, Magunia 5 ya Michele wa Mbea vs Magunia 8, ujenzi wa Banda la kuku 1 vs mabanda 2 etc).
FAIDA ni pato HALALI
RIBA ni pato la WIZI/DHULMA.
Nani kakudanganya? Money ikiwa commodity kinachopatikana ziada ni riba. Hapo Ndipo mnspigwa, mbona mmejazana kwenye Benki za biashara badala ya hizo? Kama unakopa mia na kurusldisha mia hapo sawa, kitu ambacho mebadilishiwa jina tuu basi mnaona ni tofauti kitu kilekile. Akikupa fedha ukarudisha na ziada ni sawa sawa sawa akikupa bidhaa badala ya fedha ukarudisha na ziada anayoiita faida badala ya riba. Ingekuwa hivyo ningesema basi ni fedha za majini kama unakopo na kurejesha hivyo hivyo wakati Kodi za serikali unalipa, unalipa pango , umeme, maji na watumishi
 
Eti bandari zenu.
Kama zenu mnalialia nini humu? Si mwende mkazichukue.
Mshaambiwa nyie wabara hamna asili ya bahari, wenye bandari yao washafanya yao
Kuwa na asili ya bandari kukoje wewe mke waa kiringo?
 
Nani kakudanganya? Money ikiwa commodity kinachopatikana ziada ni riba. Hapo Ndipo mnspigwa, mbona mmejazana kwenye Benki za biashara badala ya hizo? Kama unakopa mia na kurusldisha mia hapo sawa, kitu ambacho mebadilishiwa jina tuu basi mnaona ni tofauti kitu kilekile. Akikupa fedha ukarudisha na ziada ni sawa sawa sawa akikupa bidhaa badala ya fedha ukarudisha na ziada anayoiita faida badala ya riba. Ingekuwa hivyo ningesema basi ni fedha za majini kama unakopo na kurejesha hivyo hivyo wakati Kodi za serikali unalipa, unalipa pango , umeme, maji na watumishi
Hao jamaa akili hawana kabisa ni watu wa mihemko sana
 
Nani kakudanganya? Money ikiwa commodity kinachopatikana ziada ni riba. Hapo Ndipo mnspigwa, mbona mmejazana kwenye Benki za biashara badala ya hizo? Kama unakopa mia na kurusldisha mia hapo sawa, kitu ambacho mebadilishiwa jina tuu basi mnaona ni tofauti kitu kilekile. Akikupa fedha ukarudisha na ziada ni sawa sawa sawa akikupa bidhaa badala ya fedha ukarudisha na ziada anayoiita faida badala ya riba. Ingekuwa hivyo ningesema basi ni fedha za majini kama unakopo na kurejesha hivyo hivyo wakati Kodi za serikali unalipa, unalipa pango , umeme, maji na watumishi
Naona unajichanganya tu, hujaelewa nini hapo?
Nimekwambia bidhaa kwa BIDHAA zinazofanana au HUDUMA kwa huduma zinazofanana ndio RIBA, ikitokea kwa BIDHAA au HUDUMA zisizofafana hiyo sio riba ni FAIDA.
Kinachofanyika kule ni Hire Purchases, ni mauziano/MABADILISHANO ya BIDHAA zisizofanana.
Kama kinafanyika kitu tofauti na hicho basi hiyo ni RIBA kweli.
Au wewe mtu akikuuzia kitu kwa shilingi 5,000 wakati yeye kilimkosti 4,000, hiyo 1,000 kwako riba na sio FAIDA?
If yes, naomba nikuache.
 
Hauijui mihemko?
Mihemko naifahamu, Ila sijafahamu correlation yake na kilichoelezwa pale.
Mwanzako japo hakua sawa, lakini amejaribu kueleza na kufahamika.
Kwa mwalimu ambae sio mchoyo, kwenye swali la alama 10, anaweza kumpa hata alama1 au 1.5, wewe sasa unaunga mkono kimuhemko kitu usichokifahamu na hivyo kushindwa kukielezea.
 

Zanzibar yazinduwa mfumo wa bima ya kiislam​


Jionee mwenyewe:



Bima ya Kiislam uendeshwaji wake huitwa "Takaful: nikamuuliza AI ChatGPT anifafanunulie:


Ni nini bima ya Takaful?

Bima ya Takaful ni mfumo wa bima uliojikita katika misingi ya Kiislamu ambao unalenga kutoa ulinzi na usalama wa kifedha kwa wanachama wake. Tofauti na mfumo wa bima wa kawaida, ambapo kampuni ya bima ina jukumu la kubeba hatari zote za wanachama na kutoa fidia kwa madai yanayotokea, mfumo wa Takaful unafanya kazi kwa msingi wa ushirikiano na kugawana hatari kati ya wanachama.

Katika mfumo wa Takaful, wanachama hukubaliana kuweka michango ya kifedha katika mfuko wa pamoja, ambao unatumika kulipia madai ya wanachama wanaopatwa na hasara. Michango hii inatumika kujenga hazina ya Takaful ambayo inasimamiwa na kampuni ya Takaful. Ikiwa mwanachama anapata hasara, hulipwa fidia kutoka kwenye hazina hiyo.

Mfumo wa Takaful unazingatia misingi ya Kiislamu kama vile kugawana hatari, uwazi, ushirikiano, na kuepuka riba (riba ni haramu katika Uislamu). Pia, mfumo wa Takaful unazingatia maadili ya kijamii na kusaidiana katika jamii.

Kuna aina mbalimbali za bima ya Takaful, kama vile Takaful ya afya, Takaful ya gari, Takaful ya elimu, na nyinginezo. Lengo la bima ya Takaful ni kutoa ulinzi wa kifedha na usalama kwa wanachama wake wakati wa matukio ya hatari na hasara.

hanzo: https://chat.openai.com/

Je, watu wasiokuwa waislamu waliopo na wanaoishi Zanzibar wanakuwa accommodated vipi na bima hii???
 
Je, watu wasiokuwa waislamu waliopo na wanaoishi Zanzibar wanakuwa accommodated vipi na bima hii???
Uislam ni mfumo wa maisha kwa viumbe wote, sote tunazaliwa tukiwa Waislam, hakuna cochote au popote kwenye jambo la Kiislam ikawa hilo kwa ajili ya watu fulani tu. Hakuna hilo, usiwe na wasiwasi kabisa.

Mbona ilianzishwa benki ya Kiislam na benki zingine walipoona kuwa ni mfumo mzujri sasa benki nyingi duniani, mpaka hapa Tanzania, zimeweka vitengo vya "Islamic Banking".

Nenda tu kakate usiwe na saka, haguliwi yoyote kwenye Uislam. Ukiweza hata msikitini nenda ukasali hakuna ataekuzuwia. Ukiona mtu kakuzuwia basi huyo siyo Muislam au haelewini Muislam asyeuelewa maana Uislam.
 
kanisa yanabomolewa

Mkristo akila kwenye ramadani anafungwa jela

Hawa hata wakitoka huko Zanzibar akili yao ipo kuutukuza uislam zaidi, tena ule wa kuwaona waarabu wote ni ndugu wa mtume, wakija kuongoza huku huwapa waarabu mbuga, bandari, misitu, n.k.
Kichwani mwako umejaza mavi
 
kwenda kumuua shetani kwa mawe tena safari nitashauri apigwe bomu ili afutwe kabisa ili tuendelee na mengine

Kumbe wewe umeona Hilo tuh la shetani kupigwa mawe,yule msela mzungu muliemtundika pale msalabani miaka yote hii hamuoni huruma??
Na unathubutu kumuita.mungu kbs,acha zako wewe,mungu unaweza kumsulubisha kweli?
 
Back
Top Bottom