Zanzibar yazinduwa mfumo wa bima ya kiislam

Zanzibar yazinduwa mfumo wa bima ya kiislam

Mkanisa yanabomolewa

Mkristo akila kwenye ramadani anafungwa jela

Hawa hata wakitoka huko Zanzibar akili yao ipo kuutukuza uislam zaidi, tena ule wa kuwaona waarabu wote ni ndugu wa mtume, wakija kuongoza huku huwapa waarabu mbuga, bandari, misitu, n.k.
Ni wadini haswa
 
Hapa jiwe gizani limempata muhusika, vyovyote ilivyo hizi IDs ni za mtu mmoja aliyekotiwa mwengine aliyejibu mwengine nadhani ni baada ya kuona notification ukapanic ukashindwa kupanga vizuri karata zako I'd ipi ijibu kipi I'd ipi isijibu hiki.

Wenye akili tunaelewa
Ma shaa Allah. Katafute maana ya sentensi " Inna ma Almuuminin ikhwa".

Kama unajuwa kutumia google utalipata jibu.

Pia tazama habari za Ufaransa, chanzo cha machafuko huko ni nini, utalipata jibu.
 
Pamoja na yote mwamba The Boss kugawa bandari bila kikomo ni kuuza mali za watanganyika.
kabisa tena. Tena mimi naombea atuuze na sisi, siyo bandari tu. Runa faida gani ikiwa wenyewe mpaka leo tumeshindwa na kinchi kidogo kama Dubai?

Hivi wewe kwenu huko kuna bandari? Au bado mitumbwi yenu mpaka muingie kwenye maji kuwa chakula cha mamba?
 
Mbona makkah wagalatia hawaruhusiwi kutia mguu si ni ubaguzi huo ama?
Tena kabisa hawatakiwi wasogelee hapo, ukimuona kaingia hapo basi kajifanya Muislam.

Mgaalatia ana sababu zipi za kumpeleka Makkah zaidi ya umbea tu?

Hiyo ni sheria ya Makkah yenye zaidi ya miaka 1,400 leo, siyo ya jana wala juzi.

Unataka kwenda kufanya ufisadi?
 
Hilo ni kanisa moja tu na lilijengwa zamani sana kabla hata ya mapinduzi.

Kwanini hawataki kutoa ushirikiano kuruhusu wakristo wajenge makanisa ya ziada ?
Nasikia hata yale yaliyopo pale wazungu waliponunua watumwa basi halijai lazima siku ya Jumapili watoke watu Dar wakaongeze idadi.
 
Zanzibar hakuna makundi yanayo pangwa kumpinga Rais
Unamaanisha watu kama kigogo,alhaji Abdulrahman kinana,january makamba,hajat fatma karume na zitto kabwe ambao walimuandama sana magufuli kila kukicha?wewe ni kambale kweli
 
Tena kabisa hawatakiwi wasogelee hapo, ukimuona kaingia hapo basi kajifanya Muislam.

Mgaalatia ana sababu zipi za kumpeleka Makkah zaidi ya umbea tu?

Hiyo ni sheria ya Makkah yenye zaidi ya miaka 1,400 leo, siyo ya jana wala juzi.

Unataka kwenda kufanya ufisadi?
kwenda kumuua shetani kwa mawe tena safari nitashauri apigwe bomu ili afutwe kabisa ili tuendelee na mengine
 
Soma kuhusu "Takaful" ndiyo namna inayotumika.

kama unajuwa kutumia google utapaya majibu mengi sana.

Waislam hawawezi kufanya kitu bila kufata miongozo ya Kiislam.
Nipe aya kwenye Quran bint google ndio Quran sikuhizi?
 
Umewahi kufika corner bar?
Sijawahi, napasoma sana mitandaoni. Pengine kwa kupasoma nnayaelewa mengi kuliko unavyopaelewa wewe, unamfahamu mmiliki wa kona bara umaarufuku wa anaitwa nani?
 
Sijawahi, napasoma sana mitandaoni. Pengine kwa kupasoma nnayaelewa mengi kuliko unavyopaelewa wewe, unamfahamu mmiliki wa kona bara umaarufuku wa anaitwa nani?
Mimi sijui naomba uniambie wewe anaitwa nani?
 
Nipe aya kwenye Quran bint google ndio Quran sikuhizi?
Swali lako na mahitaji yako hayo yanaonesha huelewi kuhusu Uislam. Pata darsa dogo.

Katika Uislam chochote ambacho hakijakatazwa ni halali mradi kikutowe katika Uislam wako.

Qur'an mara nyingi huwa inatazamwa vilivyokatazwa siyo ambavyo havijakatazwa.

Umeelewa kijana?

Kama hujaona neno "Takaful" basi hujalitafuta na ndiyo mara yako ya kwanza kulisikia. Sasa wewe tumia google kulitafuta.

Wewe unaonesha unaupenda sana Uislam na hautaki Waislam wapotee. Shahadia tu.
 
Swali lako na mahitaji yako hayo yanaonesha huelewi kuhusu Uislam. Pata darsa dogo.

Katika Uislam chochote ambacho hakijakatazwa ni halali mradi kikutowe katika Uislam wako.

Qur'an mara nyingi huwa inatazamwa vilivyokatazwa siyo ambavyo havijakatazwa.

Umeelewa kijana?

Kama hujaona neno "Takaful" basi hujalitafuta na ndiyo mara yako ya kwanza kulisikia. Sasa wewe tumia google kulitafuta.

Wewe unaonesha unaupenda sana Uislam na hautaki Waislam wapotee. Shahadia tu.
kwahiyo Google ndio imekuwa mbadala wa Quran? Niupende uislàmu kivipi kuanzia mama yangu na ndugu zake wote ni waislamu kwahiyo nawajua ninyi nje ndani
 
Mkanisa yanabomolewa

Mkristo akila kwenye ramadani anafungwa jela

Hawa hata wakitoka huko Zanzibar akili yao ipo kuutukuza uislam zaidi, tena ule wa kuwaona waarabu wote ni ndugu wa mtume, wakija kuongoza huku huwapa waarabu mbuga, bandari, misitu, n.k.
Punguza jazba KAFIRI,udini haukusaidii chochote mgalatia kaa Kwa kutulia yatafakari maisha punguza chuki maana itakuletea shida Kwa afya ya akili
 
Inatuhusu nini? Sisi tunataka Bandari zetu za Tanganyika, hakuna kuuzwa ondoa DP World acha kuamisha mjadala
Eti bandari zenu.
Kama zenu mnalialia nini humu? Si mwende mkazichukue.
Mshaambiwa nyie wabara hamna asili ya bahari, wenye bandari yao washafanya yao
 
Back
Top Bottom