Sasa wewe unatukumbusha uchaguzi uleee, kisa kilichomkuta mamvi. Si ya kucheka lakini nadhani hii huduma ingekuwepo chadema wasingekubali mgombea wao yamtokee yale.Nasikia wanaojinyea kwa bahati mbaya pia itawasaidia Pempass?
Ha ha ha ha ha ha haTunaitaka haraka sana Tanganyika.
Kama ilivyoshamiri benki ya Kiislam mpaka benki zingine zikafunhguwa vitengo vya Islamic Banking basii ndiyo zaidi.
Mabroukin Zanzibar.
Kuna mkoa wa Tanzania hii ambao Waarabu hawajawahi kukaa? Sijauona.Ha ha ha ha ha ha ha
inabidi iletwe kwenye ile mikoa waliokaa waarabu huenda kukaa na maendeleo kama Mtwara, Lindi, Pwani, Morogoro, Singida na shinyanga mjini.
Hongera zao.
Kwasababu uislamu uhenezwa kwa chuki na umwagaji damu. Soma mafundisho yoyote hata sikiliza mahubiri ya wakristo huwezi kusikia wanaongelea uislamu ila njoo kwa waislamu, adui yao namba 1 ni ukristo.Hilo ni kanisa moja tu na lilijengwa zamani sana kabla hata ya mapinduzi.
Kwanini hawataki kutoa ushirikiano kuruhusu wakristo wajenge makanisa ya ziada ?
Inatuhusu nini? Sisi tunataka Bandari zetu za Tanganyika, hakuna kuuzwa ondoa DP World acha kuamisha mjadala
Sisi wagalatia bima hii tunayo kwa muda mrefu sana huku tunaita umoja wa kusaidiana kwenye misiba zaidi, yapaswa kuongeza wigo wake na kuelekea uwe wa kusaidiana kiuchumi, pili makundi yetu huwa hayasajiliwi rasmi, hawa wametuzidi tu katika kufanya OFISHALI, tu.Vipi Wagalatia wanaweza kujiunga na bima hii?
Assimilate.Mkanisa yanabomolewa
Mkristo akila kwenye ramadani anafungwa jela
Hawa hata wakitoka huko Zanzibar akili yao ipo kuutukuza uislam zaidi, tena ule wa kuwaona waarabu wote ni ndugu wa mtume, wakija kuongoza huku huwapa waarabu mbuga, bandari, misitu, n.k.
Kwa hiyo AI ikisema mudi ni muhuni tu na gaidi wewe utafuata muongozo wa AI [emoji1787][emoji1787][emoji1787] maana hiyo AI yenyewe inakataa uwepo wa munguUkiona mtu anaanza matsi ujuwe hana hoja na roho inamuuma vibaya sana,
Unaonesha unatokwa povu hapo. Tukikwambia hiyo AI anatumia Algorythm 100% hata huelewi hicho ni nini na ni zawadi ya nani kwenye sayansi duniani. Unaelewa ni mdudu gani huyo?
Halafu tukikujulisha kuwa AI Robot la kwanza ni Raia wa Saudi Arabia , unalielewa hilo?
Sisi tunaisubiri kwa hamu kubwa huduma hii iliyoanzisha Zanzibar kwa ukanda huu. Kesho tu naingia kuitafuta, wamekuja on time.
Kwani wewe unataka yasiwepo?,alipingwa Yes isitoshe mwanadamu mwenye mwili na nyama.Zanzibar hakuna makundi yanayo pangwa kumpinga Rais
Mwarabu amerudisha eneo lake la km 10 kutoka fukwe ya bahari ya Hindi kuingia bara kuanzia Tanga hadi Mikindani (Mtwara) ambayo aliipoteza baada ya Ujerumani kuchukua Tanganyika miaka hiyo. Mbaya zaidi this time kapewa na fukwe zote za lake zones.Zanzibar hakuna makundi yanayo pangwa kumpinga Rais
Tunaitaka haraka sana Tanganyika.
Kama ilivyoshamiri benki ya Kiislam mpaka benki zingine zikafunguwa vitengo vya Islamic Banking basi hii ndiyo zaidi.
Mabroukin Zanzibar.
Hivi wiki hii unakula nini..!!?? Mbona unafuka sana moshi wa kuni mbichi hivi?Tunaitaka haraka sana Tanganyika.
Kama ilivyoshamiri benki ya Kiislam mpaka benki zingine zikafunguwa vitengo vya Islamic Banking basi hii ndiyo zaidi.
Mabroukin Zanzibar.
Mbona makkah wagalatia hawaruhusiwi kutia mguu si ni ubaguzi huo ama?Lini au wapi ulisikia huduma za Kiislam zikibaguwa wengine?
Pamoja na yote mwamba The Boss kugawa bandari bila kikomo ni kuuza mali za watanganyika.Zanzibar hakuna makundi yanayo pangwa kumpinga Rais
Wewe mtu unajitahidigi kujificha lakini ni FaizaFoxy wa kiume . Dini kitu kibaya Sana hata mtu unayemfikiria kichwani anazo kidogo . Linapokuja swala la Imani utashangaa ππ
Hapa jiwe gizani limempata muhusika, vyovyote ilivyo hizi IDs ni za mtu mmoja aliyekotiwa mwengine aliyejibu mwengine nadhani ni baada ya kuona notification ukapanic ukashindwa kupanga vizuri karata zako I'd ipi ijibu kipi I'd ipi isijibu kipi.Wewe poyoyo kweli kweli. Kama wewe huna dini unataka sote tusiwe na dini?