Jinyonge au zuiaMkanisa yanabomolewa
Mkristo akila kwenye ramadani anafungwa jela
Hawa hata wakitoka huko Zanzibar akili yao ipo kuutukuza uislam zaidi, tena ule wa kuwaona waarabu wote ni ndugu wa mtume, wakija kuongoza huku huwapa waarabu mbuga, bandari, misitu, n.k.
Hapa jiwe gizani limempata muhusika, vyovyote ilivyo hizi IDs ni za mtu mmoja aliyekotiwa mwengine aliyejibu mwengine nadhani ni baada ya kuona notification ukapanic ukashindwa kupanga vizuri karata zako I'd ipi ijibu kipi I'd ipi isijibu kipi.
Wenye akili tunaelewa
Wewe utakuwa umelewa ali-kasus wewe!Ma shaa Allah. Katafute maana ya sentensi " Inna ma Almuuminin ikhwa".
Kama unajuwa kutumia google utalipata jibu.
Pia tazama habari za Ufaransa, chanzo cha machafuko huko ni nini, utalipata jibu.
Nao wakristo wa Zanzibar waanzishe waoZanzibar yazinduwa mfumo wa bima ya kiislam
Jionee mwenyewe:
Bima ya Kiislam uendeshwaji wake huitwa "Takaful: nikamuuliza AI ChatGPT anifafanunulie:
Ni nini bima ya Takaful?
Bima ya Takaful ni mfumo wa bima uliojikita katika misingi ya Kiislamu ambao unalenga kutoa ulinzi na usalama wa kifedha kwa wanachama wake. Tofauti na mfumo wa bima wa kawaida, ambapo kampuni ya bima ina jukumu la kubeba hatari zote za wanachama na kutoa fidia kwa madai yanayotokea, mfumo wa Takaful unafanya kazi kwa msingi wa ushirikiano na kugawana hatari kati ya wanachama.
Katika mfumo wa Takaful, wanachama hukubaliana kuweka michango ya kifedha katika mfuko wa pamoja, ambao unatumika kulipia madai ya wanachama wanaopatwa na hasara. Michango hii inatumika kujenga hazina ya Takaful ambayo inasimamiwa na kampuni ya Takaful. Ikiwa mwanachama anapata hasara, hulipwa fidia kutoka kwenye hazina hiyo.
Mfumo wa Takaful unazingatia misingi ya Kiislamu kama vile kugawana hatari, uwazi, ushirikiano, na kuepuka riba (riba ni haramu katika Uislamu). Pia, mfumo wa Takaful unazingatia maadili ya kijamii na kusaidiana katika jamii.
Kuna aina mbalimbali za bima ya Takaful, kama vile Takaful ya afya, Takaful ya gari, Takaful ya elimu, na nyinginezo. Lengo la bima ya Takaful ni kutoa ulinzi wa kifedha na usalama kwa wanachama wake wakati wa matukio ya hatari na hasara.
hanzo: https://chat.openai.com/
thread za DP nyingi hujachangia, huku umefata nini?Inatuhusu nini? Sisi tunataka Bandari zetu za Tanganyika, hakuna kuuzwa ondoa DP World acha kuamisha mjadala
FAIDA na RIBA haviwezi kua sawa. Kama ilivyokuwa haviwezi kua sawa kati ya tendo la kujamiana baina ya WANANDOA WAWILI na MALAYA WAWILI.Bima ni bima hakuna ya Kikristu Wala ya kiislam principle za bima ndio hiyo hiyo ya third part kwenye doctrine of privity to contract.
Mikopo hata mkiita jina gani faida itokanayo na fedha ya mkopo ni riba tuu. Mengine ni kujitekenya na kucheka mwenyewe
Nani kakudanganya? Money ikiwa commodity kinachopatikana ziada ni riba. Hapo Ndipo mnspigwa, mbona mmejazana kwenye Benki za biashara badala ya hizo? Kama unakopa mia na kurusldisha mia hapo sawa, kitu ambacho mebadilishiwa jina tuu basi mnaona ni tofauti kitu kilekile. Akikupa fedha ukarudisha na ziada ni sawa sawa sawa akikupa bidhaa badala ya fedha ukarudisha na ziada anayoiita faida badala ya riba. Ingekuwa hivyo ningesema basi ni fedha za majini kama unakopo na kurejesha hivyo hivyo wakati Kodi za serikali unalipa, unalipa pango , umeme, maji na watumishiFAIDA na RIBA haviwezi kua sawa. Kama ilivyokuwa haviwezi kua sawa kati ya tendo la kujamiana baina ya WANANDOA WAWILI na MALAYA WAWILI.
FAIDA ni ZIADA ya MAUZO dhidi ya MANUNUZI/GHARAMA wakati RIBA ni ZIADA itokanayo na MABADILISHANO ya BIDHAA/HUDUMA zinazofanana (Shilingi 500 vs 700, Magunia 5 ya Michele wa Mbea vs Magunia 8, ujenzi wa Banda la kuku 1 vs mabanda 2 etc).
FAIDA ni pato HALALI
RIBA ni pato la WIZI/DHULMA.
Kuwa na asili ya bandari kukoje wewe mke waa kiringo?Eti bandari zenu.
Kama zenu mnalialia nini humu? Si mwende mkazichukue.
Mshaambiwa nyie wabara hamna asili ya bahari, wenye bandari yao washafanya yao
Hao jamaa akili hawana kabisa ni watu wa mihemko sanaNani kakudanganya? Money ikiwa commodity kinachopatikana ziada ni riba. Hapo Ndipo mnspigwa, mbona mmejazana kwenye Benki za biashara badala ya hizo? Kama unakopa mia na kurusldisha mia hapo sawa, kitu ambacho mebadilishiwa jina tuu basi mnaona ni tofauti kitu kilekile. Akikupa fedha ukarudisha na ziada ni sawa sawa sawa akikupa bidhaa badala ya fedha ukarudisha na ziada anayoiita faida badala ya riba. Ingekuwa hivyo ningesema basi ni fedha za majini kama unakopo na kurejesha hivyo hivyo wakati Kodi za serikali unalipa, unalipa pango , umeme, maji na watumishi
Naona unajichanganya tu, hujaelewa nini hapo?Nani kakudanganya? Money ikiwa commodity kinachopatikana ziada ni riba. Hapo Ndipo mnspigwa, mbona mmejazana kwenye Benki za biashara badala ya hizo? Kama unakopa mia na kurusldisha mia hapo sawa, kitu ambacho mebadilishiwa jina tuu basi mnaona ni tofauti kitu kilekile. Akikupa fedha ukarudisha na ziada ni sawa sawa sawa akikupa bidhaa badala ya fedha ukarudisha na ziada anayoiita faida badala ya riba. Ingekuwa hivyo ningesema basi ni fedha za majini kama unakopo na kurejesha hivyo hivyo wakati Kodi za serikali unalipa, unalipa pango , umeme, maji na watumishi
Fafanua.Kivipi?Hao jamaa akili hawana kabisa ni watu wa mihemko sana
Hauijui mihemko?Fafanua.Kivipi?
Au ni ISLAMOPHOBIA?
Mihemko naifahamu, Ila sijafahamu correlation yake na kilichoelezwa pale.Hauijui mihemko?
Je, watu wasiokuwa waislamu waliopo na wanaoishi Zanzibar wanakuwa accommodated vipi na bima hii???Zanzibar yazinduwa mfumo wa bima ya kiislam
Jionee mwenyewe:
Bima ya Kiislam uendeshwaji wake huitwa "Takaful: nikamuuliza AI ChatGPT anifafanunulie:
Ni nini bima ya Takaful?
Bima ya Takaful ni mfumo wa bima uliojikita katika misingi ya Kiislamu ambao unalenga kutoa ulinzi na usalama wa kifedha kwa wanachama wake. Tofauti na mfumo wa bima wa kawaida, ambapo kampuni ya bima ina jukumu la kubeba hatari zote za wanachama na kutoa fidia kwa madai yanayotokea, mfumo wa Takaful unafanya kazi kwa msingi wa ushirikiano na kugawana hatari kati ya wanachama.
Katika mfumo wa Takaful, wanachama hukubaliana kuweka michango ya kifedha katika mfuko wa pamoja, ambao unatumika kulipia madai ya wanachama wanaopatwa na hasara. Michango hii inatumika kujenga hazina ya Takaful ambayo inasimamiwa na kampuni ya Takaful. Ikiwa mwanachama anapata hasara, hulipwa fidia kutoka kwenye hazina hiyo.
Mfumo wa Takaful unazingatia misingi ya Kiislamu kama vile kugawana hatari, uwazi, ushirikiano, na kuepuka riba (riba ni haramu katika Uislamu). Pia, mfumo wa Takaful unazingatia maadili ya kijamii na kusaidiana katika jamii.
Kuna aina mbalimbali za bima ya Takaful, kama vile Takaful ya afya, Takaful ya gari, Takaful ya elimu, na nyinginezo. Lengo la bima ya Takaful ni kutoa ulinzi wa kifedha na usalama kwa wanachama wake wakati wa matukio ya hatari na hasara.
hanzo: https://chat.openai.com/
Uislam ni mfumo wa maisha kwa viumbe wote, sote tunazaliwa tukiwa Waislam, hakuna cochote au popote kwenye jambo la Kiislam ikawa hilo kwa ajili ya watu fulani tu. Hakuna hilo, usiwe na wasiwasi kabisa.Je, watu wasiokuwa waislamu waliopo na wanaoishi Zanzibar wanakuwa accommodated vipi na bima hii???
Kichwani mwako umejaza mavikanisa yanabomolewa
Mkristo akila kwenye ramadani anafungwa jela
Hawa hata wakitoka huko Zanzibar akili yao ipo kuutukuza uislam zaidi, tena ule wa kuwaona waarabu wote ni ndugu wa mtume, wakija kuongoza huku huwapa waarabu mbuga, bandari, misitu, n.k.
kwenda kumuua shetani kwa mawe tena safari nitashauri apigwe bomu ili afutwe kabisa ili tuendelee na mengine