fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,372
- 4,090
DIAMOND NAYE ANA MOYO AISEE,ZARI KILA MUDA KUMKUMBUKA IVAN,MARA KWENDA KWENYE KABURI LAKE MARA SIJUK NN.aaaaaaahhh mzee mondi naye anaona kumbe naye kavamia ngedere ambaye naye ana pori lake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahahaaa ila diamond ni muhuni jamani.halafu hatumiagi kondom.kuna yule demu wa mwanza aliesema ana mimba yake alikutana nae kwenye corrodor hotelini katokea chumba cha jirani kugegedwa na dulyskyes akamuita room kwake nae akamlala kavu
hahahah [emoji28][emoji28]Kwahiyo ?!
Mambo ya shigongo msilete huku au ndio albadir ishaanza kazi
alibadr at work....mtajulikana tu sasa
Anadhani pesa ndio itamletea furahaHakuna raha yoyote ya Mali wakati moyo umejaa mastress kibao
Hebu tueleze umejuaje kuwa hatumii ndom?ahahaaa ila diamond ni muhuni jamani.halafu hatumiagi kondom.kuna yule demu wa mwanza aliesema ana mimba yake alikutana nae kwenye corrodor hotelini katokea chumba cha jirani kugegedwa na dulyskyes akamuita room kwake nae akamlala kavu
Ndio maana kuna mdau alisemaga humu kwamba wenda wasanii wao ukimwi unawapa excuse, maana wanacheza rafu nyingi but still wanadunda tuahahaaa ila diamond ni muhuni jamani.halafu hatumiagi kondom.kuna yule demu wa mwanza aliesema ana mimba yake alikutana nae kwenye corrodor hotelini katokea chumba cha jirani kugegedwa na dulyskyes akamuita room kwake nae akamlala kavu