Zari afanya kufuru kwa pesa za Ivan

Zari afanya kufuru kwa pesa za Ivan

Na jana tu kaandika Rip don[emoji23][emoji23]
Kuna mahali naona analazimika tu alipende kaburi. Wale watoto wakubwa ndo wanamsukuma aende pale anajipretend, vinginevyo ataonekana kafata urithi tu ambayo ndio kweli.
 
Diamond knows Zari loves her so much so hata akiandika kammiss Don sijui she's out at night haimpi shida. Zari naye anaona akimwacha Diamond anawaachia watu wanaomchukia wamu-enjoy baba wa watoto wake. Bora Zari amwache Diamond, atahangaika tu na mademu wapenda pesa lakini hawezi kupata mtu mwenye sifa nyingi za Zari tuseme ukweli tu. Huyu mwanamke angeenda kuzaa na baba wa kizungu huko siyo huyu dogo ambae bado anakua.
 
Kama hizi taarifa ni za kweli...
Imasikitisha sana...

Ila siku huyo mwanamke atakapoamua kufanya yake na yeye ya ovyo ovyo... ya mwanaume yatasahaulika lawama zote atabebeshwa mwanamke...


Cc: mahondaw
 
Ooooooowwwwwwww!
(Ha ha ha, yeah)
Scotty (Yeah) let's make it
rain on these niggas)
 
ahahaaa ila diamond ni muhuni jamani.halafu hatumiagi kondom.kuna yule demu wa mwanza aliesema ana mimba yake alikutana nae kwenye corrodor hotelini katokea chumba cha jirani kugegedwa na dulyskyes akamuita room kwake nae akamlala kavu
Kondom ya nn mkuu usawa huu wa madame wenye. ppapuchi tam.!! we ulishawahi tumiaga..?
 
ahahaaa ila diamond ni muhuni jamani.halafu hatumiagi kondom.kuna yule demu wa mwanza aliesema ana mimba yake alikutana nae kwenye corrodor hotelini katokea chumba cha jirani kugegedwa na dulyskyes akamuita room kwake nae akamlala kavu
Hahaha Dadake nawe kwa taarifa za chini ya kabeti upo juu
 
Snapchat ya jana mmeshushuka wengi. Eeeeeh
kawaweza kweli watengeneza story za uongo kupitia picha za watu. Ha ha haaaaaaaaa
 
ahahaaa ila diamond ni muhuni jamani.halafu hatumiagi kondom.kuna yule demu wa mwanza aliesema ana mimba yake alikutana nae kwenye corrodor hotelini katokea chumba cha jirani kugegedwa na dulyskyes akamuita room kwake nae akamlala kavu
Kondomu ya nini.......
 
Hivi huyu anaandikaga kiingereza cha wapi?
 
Back
Top Bottom