Zari afanya kufuru kwa pesa za Ivan

Zari afanya kufuru kwa pesa za Ivan

Wabongo bhana, eti afanya kufuru na hela za Ivan, huu ndio SHILAWADU original huu duh.
 
Uyu mwanamke anampenda sana diamond,... Ata apo hajui anafanya nn
 
**** love, i am tired of trying, my heart
beats but a bit quite...aisee diamond ataishia kupata ngoma, ogopa sana malaya, diva(fighters) wakiamua kukupa moyo afu we uukaange ule rosti na chapati...diamond asijaribu kurudi kwa huyu mwanamke maana alimpenda sana and she was ok to leave kila kitu nyuma hadi watoto for the sake of love or we say dick, experienced men tunajua kinachofuata ni revenge na diamond might suffer for the rest his life...jamaa ka mess up kimama sana truth be told, hii si drama ya wema ama peninah sijui..me mwenyewe nili mess up kwa mama mtoto wangu mpaka leo hii nnakoma, maana siyo masikini na ana nguvu juu ya mtoto and everything
Hii ni verse au unarap?
 
ahahaaa ila diamond ni muhuni jamani.halafu hatumiagi kondom.kuna yule demu wa mwanza aliesema ana mimba yake alikutana nae kwenye corrodor hotelini katokea chumba cha jirani kugegedwa na dulyskyes akamuita room kwake nae akamlala kavu
Ulikuwepo
 
BELIEVE ME OR NOT, DIAMOND AMEACHANA NA ZARI,,,,,,,,,

try to follow the past relationship trend of our musician utagundua hula ni kimya kimya na huuanzia hv hv then mara paaaap unasikia wanadeclare kuwa ni kweli......
 
Back
Top Bottom