Hivi kama alikuwa na hela alizibebea wapi....
Labda aliziweka kwenye chup* kama alivaa.
Alionyesha Kupigwa chini kuvimba juu!!!Zari alionesha nini?
Hivi kama alikuwa na hela alizibebea wapi....
Hivi Sugu aliliokota wapi hili kahaba?
Wema anapendwa na watanzania?!
Hivi kama alikuwa na hela alizibebea wapi....
Alionyesha Kupigwa chini kuvimba juu!!!
Mkuu watu kama hao ndio wanaotufanya watanzania tuonekane tuna iq ndogo, wakati wenzie wanawaza mamilioni yeye anawaza team wema.
Hivi huyo wema anauwezo wa kuandaa show kama ile, mashabiki wake wenyewe wa instagram ni Team majalala.
Sijamuona shabiki au show ya Wema ya kuingilia milioni tatu. Zaidi zaidi msimbazi.
kona bar???
Mkuu wana "mifuko" mingi kuliko hata unavyofikiri.
Hivi mtu unatoa pesa yako, halafu eti unakwenda kwenye shoo ya mtu ili umlinganishe na mtu mwingine, huu si ushamba na upuuzi? Watanzania tutabadilika lini kama staili ya maisha ndio haya ya kimajungu majungu namna hii.