Hata huyu ndugu yetu ana matatizo, kipindi kile anamkana hamisa na mwanaye mpaka hamisa alipotoa ushaidi ndo Jamaa akakubali,. Huo ni uthibitisho tosha kujua kua huyu jamaa ana matatizo,na kwa naoa anavyowaacha anawaacha kwa kuwaumiza lazima wawe na vinyongoKuna mama jeuri sana, mtoto unampenda lakini hata kuonana naye anakuwekea masharti makali, ukimtumia hela anaidharau anaona ndogo kwavile anajiona tajiri, dawa ya mama wa namna hiyo ni kuwakaushia tu. Na huyu Bosslady namuona ana swaga hizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo wivu ,anatamani na yeye angefanya hivyo South Africa ama Uganda ila ndo hivyo uwezo huo hana. Kambadili tifa uraia bila Mondi kujua. Anakatalia watoto wasije kumwona baba yao.zari si ndio huwa anajitapa yeye ni independent hahitaji msaada wala hajali kuhusu msaada kwenye malezi ya watoto.?
Na kama miaka yote hiyo Diamond hatoi mpunga na yeye ameweza kuwapa mahitaji yao kulikuwa na haja gani ya yeye kuja kulalamika sahizi.?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]hapo sasaMnafikiri ni yeye basi anayetoa msaada, kwa pesa gani? Ni makampuni tu yako nyuma yake kumsuport na sidhan kama wataweza kulipia watu 500 kweli labda 50 hyo sifur nyingine kajiongezea, c unamjua domo kwa kupenda sifa.
Yeye mwenyewe kapanga na analipiwa kodi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mimi hapa nimejifunza kitu kiimani,
Laana ipo, ukimkataa Baba kwasasababu ya malezi na ugomvi wa baba na mama na wewe kuna uwezekano watoto wako wakakukataa kwasabababu zile-zile.
Yah hakuweza kumuacha mtoto awe na haki ya kuwapenda wazazi wote
Sawa baba mwenye nyumbaMnafikiri ni yeye basi anayetoa msaada, kwa pesa gani? Ni makampuni tu yako nyuma yake kumsuport na sidhan kama wataweza kulipia watu 500 kweli labda 50 hyo sifur nyingine kajiongezea, c unamjua domo kwa kupenda sifa.
Yeye mwenyewe kapanga na analipiwa kodi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Pia kapeleka watoto kanisani bila idhini ya DiamondOoohh kumbe shida ni urahia wa watoto....nimeanza kupata picha sasa.
Ndo maana nashangaa baba gani hajali watoto wake hata kidogo...sasa nimeelewa kilicho nyuma ya pazia.
Mbona unanitag Sana mzee una hasira Sana kisa diamond anatoa msaada acha roho ya korosho.innocent dependent ataenda kumtukana Zari kila aina ya tusi
π€£π€£π€£ unaongea na mimi au unaongea na Zari ?Mbona unanitag Sana mzee una hasira Sana kisa diamond anatoa msaada acha roho ya korosho.
ππππππ€£π€£π€£ unaongea na mimi au unaongea na Zari ?
Hapana mimi ni WACHAFUWe utakuwa wasafi wewe