Zari amlipua Diamond kwamba hatoi hela ya matunzo ya watoto wake baada ya kutangaza kulipa kodi za kaya 500

Zari amlipua Diamond kwamba hatoi hela ya matunzo ya watoto wake baada ya kutangaza kulipa kodi za kaya 500

Sasa huyu dogo huwa anamkomalia nini mshua wake wakati na yeye anafanya kama yeye tu alivyomfanyia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona baba yake kashapata nae muda mrefu mpaka kwenye 40 ya mtoto wa Tanasha alialikwa na akapewa treatment nzuri hata muonekane wa baba yake wa sasa hivi amenenepa.
 
Mashabiki wa mondi kuna siku ataziba mdomo na kuongea na ta.ko na bado wakamsifu

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ametaka tu mjue kuwa mnalipiwa kodi na mtu ambaye hawajibiki kwenye malezi ya watoto wake.

Wangekuwa watoto wake wangekuwa na uraia wa bongo!! Kumbuka MATERNITY IS A FACT BUT PATERNITY IS A PROBABILITY!!! Inawezekana yule danga anajua kuwa baba halali wa wale watoto ni msouth, ndio maana akawapatia uraia wa huko!!
 
94829118_237768507632215_6729522827692517837_n.jpg
 
Nani kasema zari anateseka!? Kikubwa yakupasa uelewe ujumbe wa Zari kuhusu tabia ya domo

Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa kweli zari anataka msaada wa mzazi mwenza kama anavyodai asingemblock diamond,angeruhusu watoto kumtembelea baba yao bongo, asingebadili uraia wa watoto bila ridhaa ya baba yao,asingekuwa anawapeleka watoto kanisani wakati baba yao Ni muislamu,asingekuwa anatoa kauli za matusi kwa mzazi mwenzake mwisho kabisa atengeneze mahusiano mazuri na mzazi mwenza kwanza sizani Kama diamond awezi kutoa Kama amewanunulia nyumba kabisa south anashindwaje kuwahudumia tofauti na nilichoongea hapo zari atakuwa anatafuta Kiki kwa pikipiki.
 
Mwanamama mrembo na mjasiliamali Zari the Bosslady aliyezaa watoto 2 na Diamond Platnumz amemlipua mzazi huyo mwenzie baada ya kutangaza kulipia makazi kata 500 wakati hajua watoto wake wamekula Nini wala wamelala vipi.

Zari anamwambia Diamond huwezi furahisha dunia wakati wakwako hawana furaha na wewe wala kuwajali.

View attachment 1430809

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hataki kumuachie watoto akae nao kama sios staili ya kumdangia mzaz mwenzake ni nini
 
Kuna jamaa mmoja nae anaitwa IZZO BUSINESS ananisikitisha sana kazaa na Yule manzi wake shombe wa kihaya na kimarekani watoto mapacha wanafanana ile mbaya na baba yao jamaa kakausha kimya

Hadi dada wawatu ana post masikitiko yake huko insta .



Izzo businy nenda kaone watoto wako marekani usije ukasema hutaki shobo .

Wale wanao kabisa zile sura za ki-simwinga kabisa

Na bahati nzuri mdogo wako Patrick nilisoma nae seko
So sura zenu hazipotei
Sent using Jamii Forums mobile app
 
This is sad,

Timu Mondi mmejaaa mapumba aisee...swala la kubadilisha uraia kwenda south africa..Zari ni mama anayejali future ya wanae..kumbukeni South Africa ni moja ya nchi tajiri Africa,mama gani asingechukua hio opportunity??? BIG UP ZARI....

Eti anampeleka watoto kanisani,ndio ususe kulea wanao??,hao watoto ni wadogo...wakifika 18 ndio wanaweza kufanya maamuzi wachukue dini gani..Mondi anaweza kuwapeleka kila siku Madrasa na kuswali msikitini,ila ikifika umri wa kuchagua wanaweza kuchukua ukristu mpooo???

Kuwaona watoto mnasema Zari hawaleti wanae kumuona baba yao,huyo Mondi kapanda ndege kwenda kuwaona wanae akakataliwa kuwaona????..kwanza ingekua ni mimi hata ukipanda ndege huwaoni ng'o..hela ya matumizi hutoi bado unataka kuwaona watoto.. kwani wamekua wana sesere au midoli hao?
 
This is sad,

Timu Mondi mmejaaa mapumba aisee...swala la kubadilisha uraia kwenda south africa..Zari ni mama anayejali future ya wanae..kumbukeni South Africa ni moja ya nchi tajiri Africa,mama gani asingechukua hio opportunity??? BIG UP ZARI....

Eti anampeleka watoto kanisani,ndio ususe kulea wanao??,hao watoto ni wadogo...wakifika 18 ndio wanaweza kufanya maamuzi wachukue dini gani..Mondi anaweza kuwapeleka kila siku Madrasa na kuswali msikitini,ila ikifika umri wa kuchagua wanaweza kuchukua ukristu mpooo???

Kuwaona watoto mnasema Zari hawaleti wanae kumuona baba yao,huyo Mondi kapanda ndege kwenda kuwaona wanae akakataliwa kuwaona????..kwanza ingekua ni mimi hata ukipanda ndege huwaoni ng'o..hela ya matumizi hutoi bado unataka kuwaona watoto.. kwani wamekua wana sesere au midoli hao?
Zari kashindwa kutengeneza mahusiano mazuri na mzazi wake huo msaada ataupataje?Yeye ndiye ameblock diamond kwani sisi ndio tuliomtuma amblock?Yeye kashindwa kutengeneza mazingira rafiki kwa mzazi mwenza kutoa huduma anakuja public sisi tutamsaidiaje?
 
Back
Top Bottom