Kweli kwako unaweza ukaona hamna sababu ya msingi,ila yule demu ana kiburi za fedha,kwake anaona fedha ndio kila kitu.
Hivi wewe kweli kama mwanaume,unaweza ukakubali ,ukakubali mtoto wako abadilishwe uraia? Yote tisa kumi unawapeleka Kanisani,manake swala kama la imani swala jingine kabisa,kama Mondi angekuwa mtu wa swala tano hii kesi kubwa,sometimes inaweza hata ukasababisha kupotea kwa uhai wa mtu.
Siku zote mwanaume anahitaji kusikilizwa na kuheshimiwa ila kama mwanamke akikuzidi kipato ni ngumu sana kukusikiliza,wachache sana ambao wana hofu ya Mungu wanaweza wakamsikiliza mwanaume ambaye amemzidi kipato.
Zari na Mondi wanaonyeshana,Zari tokea mwanzo anamwonyesha Mondi sio kitu anaweza somesha na kuwapatia mahitaji yote muhimu bila Mondi ndio maana kaamua,kumbadilisha uraia na kuwapeleka kanisani.
Mondi nae kaona kazarauliwa ,watoto baki ukitaka huduma yangu basi lazima wafuate vile nitakavyo mimi.
Na ndio maana mahusiano kama haya mnapoteza mda mwingi kwenye mashindani,baada ya kulea watoto.