Zari amlipua Diamond kwamba hatoi hela ya matunzo ya watoto wake baada ya kutangaza kulipa kodi za kaya 500

Zari amlipua Diamond kwamba hatoi hela ya matunzo ya watoto wake baada ya kutangaza kulipa kodi za kaya 500

Ninachokiona ni kwamba Zari ana muonekano mzuri ila ni jeuri ndani ya nyumba, kiburi chake huenda ndio kimemkimbiza Diamond, mwanamke hata umeremete kama dhahabu ikiwa huna adabu kwa mumeo unataka umpande kichwani hovyo hovyo, hayo ndio madhara yake, utaileza nini dunia, watoto wanauraia wa southafrica, mama raia wa uganda. Iweje atokee mtanzania mmoja aseme yeye ndo baba? Watafutie watoto baba yao wakizulu huko, acha mahoka, tulia watu walipiwe kodi wewe.
Malizia na umri wa zari ni sawa na landrover 109 model yani kikongwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo wivu ,anatamani na yeye angefanya hivyo South Africa ama Uganda ila ndo hivyo uwezo huo hana. Kambadili tifa uraia bila Mondi kujua. Anakatalia watoto wasije kumwona baba yao.
Mondi yeye siyo mjinga kiasi hicho.
Mkuu umemaliza yote ambae hajakuelewa akanywe yukozuna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jamaa mmoja nae anaitwa IZZO BUSINESS ananisikitisha sana kazaa na Yule manzi wake shombe wa kihaya na kimarekani watoto mapacha wanafanana ile mbaya na baba yao jamaa kakausha kimya

Hadi dada wawatu ana post masikitiko yake huko insta .



Izzo businy nenda kaone watoto wako marekani usije ukasema hutaki shobo .

Wale wanao kabisa zile sura za ki-simwinga kabisa

Na bahati nzuri mdogo wako Patrick nilisoma nae seko
So sura zenu hazipotei
Sent using Jamii Forums mobile app
Jomba izzo mfukoni hana kitu ataendaje usa,labda tumchangie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaachana na wanawake wanne nini kilimkimbiza Kiba?

Ina maana kwa kuwa hatusikii mitandaoni ndio hana matatizo na wanawake wake alio waacha?
sasa wewe unadhani matatizo ya kifamilia kuruka mitandaoni ni kwa sababu wewe msanii sana au hujitambui.

kila familia hata zetu tusio wasanii zina shida somtime,ila tunatofautiana staha,kuna watu.hata mama yake akiwa mwezini anatamani tungejua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
This is sad,

Timu Mondi mmejaaa mapumba aisee...swala la kubadilisha uraia kwenda south africa..Zari ni mama anayejali future ya wanae..kumbukeni South Africa ni moja ya nchi tajiri Africa,mama gani asingechukua hio opportunity??? BIG UP ZARI....

Eti anampeleka watoto kanisani,ndio ususe kulea wanao??,hao watoto ni wadogo...wakifika 18 ndio wanaweza kufanya maamuzi wachukue dini gani..Mondi anaweza kuwapeleka kila siku Madrasa na kuswali msikitini,ila ikifika umri wa kuchagua wanaweza kuchukua ukristu mpooo???

Kuwaona watoto mnasema Zari hawaleti wanae kumuona baba yao,huyo Mondi kapanda ndege kwenda kuwaona wanae akakataliwa kuwaona????..kwanza ingekua ni mimi hata ukipanda ndege huwaoni ng'o..hela ya matumizi hutoi bado unataka kuwaona watoto.. kwani wamekua wana sesere au midoli hao?
Mwanaume yoyote ambaye ameshawahi ku
pitia mgogoro na mzazi mwenzake hawezi kumlaumu Diamond.... wanawake nyie ni tatizo KUBWA sana mara nyingi hampendi watoto wenu wawe na mapenzi na baba zao,chunguza hili.
 
sasa wewe unadhani matatizo ya kifamilia kuruka mitandaoni ni kwa sababu wewe msanii sana au hujitambui.

kila familia hata zetu tusio wasanii zina shida somtime,ila tunatofautiana staha,kuna watu.hata mama yake akiwa mwezini anatamani tungejua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru umekubali matatizo wanayo pamoja na usiri wao na unaweza ukashangaa matatizo yake makubwa kuliko ya Mondi,ila kwa kuwa Mondi lazima ushike bango bila hata kumsikia Mondi kauli yake na ww kwa unazi wako kwa Kiba Mondi hata aongee nini huwezi mwelewa.

Najua unayajua ya Mondi sababu amezaa na wanawake maarufu hasa wa mitandaoni na yy mtu wa mitandao na ndio maana unamzungumzia.
 
Nashukuru umekubali matatizo wanayo pamoja na usiri wao na unaweza ukashangaa matatizo yake makubwa kuliko ya Mondi,ila kwa kuwa Mondi lazima ushike bango bila hata kumsikia Mondi kauli yake na ww kwa unazi wako kwa Kiba Mondi hata aongee nini huwezi mwelewa.

Najua unayajua ya Mondi sababu amezaa na wanawake maarufu hasa wa mitandaoni na yy mtu wa mitandao na ndio maana unamzungumzia.
hizi ni hisia zako umeandika hapa.

kwanini nisimuelewe mond kama anazo hoja za msingi za kueleza!!!au unadhani mimi mshabiki maandazi kama nyinyi!!tofauti na wengi tunavyotegemea kila akihojiwa badala ajibu mambo kiume huwa anatu disapoint.kiba mara zote amekuwa akisimama upande wetu wanaume ndio maana tunamuelewa,wewe huoni ni kwanini mambo yake ya ndani hauyajui unahisi tu???

nakumbuka swala la zari aliishaulizwa akajibu huyu mwanamke alikuwa anani cheat na psquare[emoji23][emoji23][emoji23],yaani kusema hauhudumii watoto kisa hawaletwi uwaone ni akili za kitoto kabisa.ugomvi wako wewe na mzazi mwenzio malaika wa miaka 5 au minne unamuhusu nini!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume yoyote ambaye ameshawahi ku
pitia mgogoro na mzazi mwenzake hawezi kumlaumu Diamond.... wanawake nyie ni tatizo KUBWA sana mara nyingi hampendi watoto wenu wawe na mapenzi na baba zao,chunguza hili.
kosa kubwa ukikubali hilo litokee,leo ni watoto,wanayo nafasi kubwa kuja kuchambua baadae wakajua nani alikuwa mafuta na nani alikuwa kineriti.

wewe hudumia bana,mtoto akifika 12 tu,tayari ana uwezo wa kujua kila kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hizi ni hisia zako umeandika hapa.

kwanini nisimuelewe mond kama anazo hoja za msingi za kueleza!!!au unadhani mimi mshabiki maandazi kama nyinyi!!tofauti na wengi tunavyotegemea kila akihojiwa badala ajibu mambo kiume huwa anatu disapoint.kiba mara zote amekuwa akisimama upande wetu wanaume ndio maana tunamuelewa,wewe huoni ni kwanini mambo yake ya ndani hauyajui unahisi tu???

nakumbuka swala la zari aliishaulizwa akajibu huyu mwanamke alikuwa anani cheat na psquare[emoji23][emoji23][emoji23],yaani kusema hauhudumii watoto kisa hawaletwi uwaone ni akili za kitoto kabisa.ugomvi wako wewe na mzazi mwenzio malaika wa miaka 5 au minne unamuhusu nini!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kujibu mambo kiume kupoje?

Kiba huwaga anajibu kiume kwani ushawahi kusikia mambo yake na wanawake zake wanne?

Kwani wewe ulitaka asemeje kwamba hamcheat?

Nakuambia kitu kimoja yule Dem wa Mombasa atayatapika ya Kiba,mda si mrefu itunze hii post,sababu naye anapenda umbeya.
 
Bitter truth charity begins at home watu aina ya domo wapo wengi sana unakuta ndugu zake maskini wa kutupwa lakini yeye anaponda mali na washkaji, akipata matatizo familia inabeba mzigo, kuna jamaa alishaga tangulia mbele za haki maisha yake yalikua starehe na washkaji tu na michepuko hata mkewe alikua hana sauti ya kumuuliza matanuzi yake akaugua stroke ghafla ilipiga upande wote wa kulia jamaa akawa hata kibaruani haendi mkewe kajitahidi wee wapi ndugu aliowazarau walijichanga visent wapi mke akipigia simu wale rafiki mara waje mara visingizio kibao na wakija pangu pa kavu, watoto ada zikaisha shule walikua shule za maana sio kayumba ghafla wakaacha shule zao wakarudishwa kayumba mke kaomba sana misaada kwa marafiki za mume washkaji wanakimbia visingizio kibao mara nimesafiri mara family matters...nk familia yako ni kitu cha kwanza hayo mengine domo ni mbwembwe tu wanao ndio urithi wako mali huisha fame pia huisha, ipo siku wale watoto watakua wakubwa sijui utawaambia nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
GurU
Zari Ni ujeuri wake ndo unamuangamiza
 
kosa kubwa ukikubali hilo litokee,leo ni watoto,wanayo nafasi kubwa kuja kuchambua baadae wakajua nani alikuwa mafuta na nani alikuwa kineriti.

wewe hudumia bana,mtoto akifika 12 tu,tayari ana uwezo wa kujua kila kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Anahudumiaje ikiwa mzazi mwenza aoneshi ushirikiano alafu anakuja kulalamika public
 
kiburi chake ndio kimekimbiza diamond[emoji874]

wema,peni,hamisa,tanasha nini kilimkimbiza mond!!!

huyu jamaa anaishi kisanii,tatizo wanazi wake hamuelewi kama mwenzenu anaishi kisanii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na Mimi nakuuliza nitajie hao wanawake wote uliowataja yupi Kati yao ameolewa au ana bwana ameamedumu nae more than one year?
 
Kujibu mambo kiume kupoje?

Kiba huwaga anajibu kiume kwani ushawahi kusikia mambo yake na wanawake zake wanne?

Kwani wewe ulitaka asemeje kwamba hamcheat?

Nakuambia kitu kimoja yule Dem wa Mombasa atayatapika ya Kiba,mda si mrefu itunze hii post,sababu naye anapenda umbeya.
wanaume tuna kawaida ya kuwahifadhi wanawake,achilia mbali mzazi mwenzako.

ndio maana baba yako huwezi sikia anatangaza hata mkewe awe kicheche namna gani.maana ukijaribu kuishusha heahima ya mwanamke wako wa karibu na ya kwako itashuka tu.

mimi nasubiri hiyo siku mke wa kiba anahojiwa na wasafi,analia akilopoka kila kitu[emoji3][emoji3][emoji3].



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu epushia mbali ila kwa mfano leo mtoto wake mmoja aliezaa na Zari akifariki Diamond atalia na kwenda kuzika au kufanya mazishi.Nauliza tu!!!!?Wakati mwngne nadhan tuyaache ya dunia yapite na tujifanye wajinga kwa faida ya kesho....

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mama anatafuta Kiki kwa pikipiki yeye ndo ameblock, Yeye ndio amezuia watoto wasije Tanzania kumuona baba yao,hao watoto kawabadilisha uraia bila mondi kujua,ukiacha hivyo amekuwa akimtukana diamond Sana diamond kaa kimya Mara amwiite umbwa, huyo huyo mama alimwambia diamond atahudumia kila kitu pesa zake hazitaki Leo hii analalamika public ikiwa wewe Kama mwanaume unamuelewaje?
 
Angaletaka watoto wake wafate imani yake angetafta mtu wa imani yake huwezi kuzaa na mtu wa Iman tofauti na yako arafu ukomae watoto waende kwenye imani yako ilihali hauishi nao Zari at wafundisha vp uisilamu wakati yeye ni mkristo? ni kosa la Baba . Hayo mambo anayo mfanyia Baba yake atakuja kufanyiwa na hao watoto wake time will tell
Kweli kwako unaweza ukaona hamna sababu ya msingi,ila yule demu ana kiburi za fedha,kwake anaona fedha ndio kila kitu.

Hivi wewe kweli kama mwanaume,unaweza ukakubali ,ukakubali mtoto wako abadilishwe uraia? Yote tisa kumi unawapeleka Kanisani,manake swala kama la imani swala jingine kabisa,kama Mondi angekuwa mtu wa swala tano hii kesi kubwa,sometimes inaweza hata ukasababisha kupotea kwa uhai wa mtu.

Siku zote mwanaume anahitaji kusikilizwa na kuheshimiwa ila kama mwanamke akikuzidi kipato ni ngumu sana kukusikiliza,wachache sana ambao wana hofu ya Mungu wanaweza wakamsikiliza mwanaume ambaye amemzidi kipato.

Zari na Mondi wanaonyeshana,Zari tokea mwanzo anamwonyesha Mondi sio kitu anaweza somesha na kuwapatia mahitaji yote muhimu bila Mondi ndio maana kaamua,kumbadilisha uraia na kuwapeleka kanisani.

Mondi nae kaona kazarauliwa ,watoto baki ukitaka huduma yangu basi lazima wafuate vile nitakavyo mimi.

Na ndio maana mahusiano kama haya mnapoteza mda mwingi kwenye mashindano,baada ya kulea watoto.Hapo kila mtu inabidi asimame kwenye nafasi ya asili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom