Tetesi: Zari Ana mtoto wa 1988

Duh mie kwa hili naona mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Zari sio kweli anaweza kua above 40 huo ni uongo wa hali juu., Hata kwa kumuangalia huo umri mrefu ila huyo Mange ukinambia ana 49 naweza amini kakomaa sana na tu nyama hana.Hapa Zari mnamuonea hajafika huko 40 mtoto wa watu.. Hili mange muongo!
 
Yaani stress zitampeleka kubaya,na asipokuwa makini atanyang'anywa hadi watoto,kweli nimeamini yule dada hana akili
 
Kwa hiyo huyo mtoto alimzaa akiwa na miaka 12?
 
Saizi anadai eti wazungu hawana joto[emoji23] [emoji23] wakati mwanzo aliwaponda wanaume weusi.
All in all kanikera kumwita mama wa Zari "Hiki Kibibi"
 
Hahahahaaaaa hii issue imetoka Uganda, kama kawaida Mange ni daraja.Mbona Zari kahojiwa hajakanusha?
Kasema yy ana mtoto mmoja wa kike ambaye ni Tiffah,ila kwa hili ningekuwa mm ningempa mange kiki apunguze stress,ningesema yes Zuleha ni mwanangu
 
Saizi anadai eti wazungu hawana joto[emoji23] [emoji23] wakati mwanzo aliwaponda wanaume weusi.
All in all kanikera kumwita mama wa Zari "Hiki Kibibi"
Hata kupewa talaka alipinga kwa nguvu zote "mpare hawezi kupewa talaka" sa ivi hana jinsi anakubali she is the single mother baada ya watu kuyajua ya kwake pia
 
Hata kupewa talaka alipinga kwa nguvu zote "mpare hawezi kupewa talaka" sa ivi hana jinsi anakubali she is the single mother baada ya watu kuyajua ya kwake pia
Alitumia nguvu nyingi kupinga mwisho wa siku kichwapanziiiii kamuumbua
 
Stress zinawatesha sana timu vigodoro na hivi maisha yamewapiga hawana jipya....hizi nguvu wanazotumia wangefanya harambee wakomboe gari la boss wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…