Tetesi: Zari Ana mtoto wa 1988

Jumba la kifahari la diamond nchini afrika kusini litazinduliwa siku ya birthday ya tiffah
 
wivu na stress ndivyo vinavyowasumbua watu kutwa kumuandama dada wa watu
huyo wala si mtoto wake, wala hana huo umri unaowatoa watu mapovu, mara kachoma sindano ya weupe, hivi wanaijua origin ya zari vizuri, kweli wanawake tuna shida sana
 
it is not true,wala hajafika 40, achane kusema vitu msivyo na ushaidi navyo khaaaaaaaaaa
Hata kama ni kweli mie naona bado mrembo na anavutia kwa kweli.......mie kama ni Zari ningesema nina miaka 50.....kuliko hao wana miaka 20 lakini utasema wana miaka 40 walivyochoka .
 
Hata kama ni kweli mie naona bado mrembo na anavutia kwa kweli.......mie kama ni Zari ningesema nina miaka 50.....kuliko hao wana miaka 20 lakini utasema wana miaka 40 walivyochoka .

kabisa, utasema hana hata mtoto mmoja
 
Hakuna picha
 
Tatizo lingine linawasumbua wanawake wa kibongo kumchukia Zari bila hata kumjua ni " inferiority complex" tu walionayo! Kiufupi ni maji marefu!!
 

Umeongea ukweli mamy nimekupenda bure.
 
Na pia zari Hana miaka 36 Kama watu wajuavyo Ana miaka zaidi ya 40 ..
Tatizo mnajifanya mnamfahamu zaidi Zari kuliko anavyojifahamu yeye mwenyewe! Sasa miaka zaidi ya 40 ndo miaka mingapi? Miaka 50, 60 au mingapi hasa?! Yaani magazeti ya udaku ya Uganda pamoja na kumfuatilia sana Zari kwa miaka kadhaa; miaka yote hii yasiandike kwamba ana miaka zaidi ya 40 na ana mtoto aliyezaliwa mwaka 1988, mambo hayo yaje kufahamika na akina nyie ambae mmeanza kumfahamu Zari juzi tu hapa?! Hivi hamjisikii hata aibu mnavyojaribu kushindana hadi na wanaowafahamu hao watu kuliko nyinyi? Mwenyewe kaweka picha yao nyingine hii:



Hivi kabisa mnaamini hapo alipo anaweza kuwa na mtoto? Au kabisa mnaamini age difference hapo inaweza kuwa +15?! By the way, yaani King Lawrence alivyokuwa anapenda kumripua Zari, ndo angeacha kuanika kwamba Zuleha ni mtoto wa Zari? Au nae alikuwa hafahamu?!
 
haha duu
 
nimependa hapa kwa king lawrence!!!
 
Shemeji yetu kutoka Uganda anadaiwa kuwa na mtoto mwingine mkubwa rika na Diamond chanzo kimoja kutoka huko kwao Uganda kinasema, Zari alipohojiwa na alidai ni uongo
 
Shemeji yetu kutoka Uganda anadaiwa kuwa na mtoto mwingine mkubwa rika na Diamond chanzo kimoja kutoka huko kwao Uganda kinasema, Zari alipohojiwa na alidai ni uongo
Sawa tumejua,ila kiombe chanzo chako cha habari kikuambie nini kinachofuata ???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…