atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Unajitajid kumpigia wema debe ila ukumbuke yule hana nyota ya kuolewa zaid ya kutumikaKwanini hakumuacha wakati alipo mcheat na hakumwambia mpaka alipo gundua?
Ni wakati wa Wema kuolewa sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajitajid kumpigia wema debe ila ukumbuke yule hana nyota ya kuolewa zaid ya kutumikaKwanini hakumuacha wakati alipo mcheat na hakumwambia mpaka alipo gundua?
Ni wakati wa Wema kuolewa sasa
what is on that blue-cloured scrap?
Aisee umefurahi, kama nakuona.... Juz tulibishana kuhusu hawa viumbeHa ha haaaaa
U made my day
Wewe unafanya nini huku [emoji12]Watu mpo vzr kwny hizi mambo [emoji23][emoji23]
Angetulia na marehemu?Yaani zari alidhani dhambi ya kumuacha mume na kuchepuka na dogodogo ingemuacha salama? Machozi ya Ivan hayo bora angetulia na familia yake
Yote ni sehemu ya maisha..life is full of choices..wanaume tuna matatizo sana..mara nyingi wanawake ni wavumilivuZari naye aliingia kwa mbwembwe sana katika mahusiano na dai, alikua hamjui vizuri dai.
Bora angerudi kwa mume wake Ivan kuliko kudate mond, alifanya mistake sana
Pole, unamhurumia nan kati yao?Duh!Nimeumia eti..
Asee imekula kwao daah...so sad kwakweliHahaaa is it because amekubali kuhudumia mtoto wa Hamisaa?!!na kupatana nae?
Kama nawaona team zari mondi watakavyokufa njaaa
Poleni
Numbisa anajipanga, atakuja anasifia huyo vibaya vibayanasubira comment ya numbisa
tehteh.....
Kwa kweliHakuna Binadamu mkamilifu ila ni Ukweli kuwa Diamond kwa sasa anapitia kipindi Kigumu sana katika Maisha yake kiasi asipopata Washauri wazuri ndo utakuwa Mwisho wake ukizingatia amejitengenezea Maadui wengi pale anapopatia ridhiki ambao wote hao wanasubiri kwa Hamu mwisho wake!!!