Ummu Maryam
Senior Member
- Nov 28, 2017
- 108
- 66
Ila bado kuna watu watawndelea kumfuatilia zarina hata baada ya kuwaachia mtu wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hao ni wafanyabiashara ni kiki tu hiyo ili wapige pesaZari kafanya jambo jema sasa ni wakati wa Wema kuolewa na Diamond...
Ndoa inampa mwanamke uhalali kisheria hivyo anaweza kupoteza baadhi ya hali zake. Pia ni Agizo la Mungu na heshima kwa Jamii.Kwani ndoa ndio nini, si kuna talaka pia?
Wewe ndio unajua..duh...wabongo mwisho wa reliZari akapumzike tu,huyo Nillan mwenyewe sio wetu,mtoto Ivan mtupu mpaka matege!!!!anaona aibuuu,diamond ametua mzigo mzito nyie Leo hamjui tu... Chibu alishamchoka zari
Na ww ndio zarZari alikua na mpango huo siku nyingi alisubiri right time tu ya kuhit.
Ishu sio kucheat...respect man...cheat lakini jitahidi mwenzio asijue..usimvunjie heshimaWewe tabia ya kucheat siyo ya Mondi peke yake,hyo ni hulka ya wanaume wengi awe maskini,uwezo wa kati ama tajiri!!Mumuache Mondi, kwanza mwanaume uliyekamilika unawezaje kula mwanamke mmoja maisha yako yote!?halafu sasa watoto wenyewe wakike wanavotutega na walivyo wazuri kuliko mama zao unaachaje kucheat!!mumuache Mondi bana!
Haya, sawa.Ndoa inampa mwanamke uhalali kisheria hivyo anaweza kupoteza baadhi ya hali zake. Pia ni Agizo la Mungu na heshima kwa Jamii.
Angeng'ang'ania ndoa? Seriously? Hii ndio mitazamo ya wanawake kuhusu kumkamata mwanaume. Safari mnayo ndefu sanaHana ubavu wa kumwacha Chibu yeye alibugi pale pale penzi lilipokuwa kwake angeng'ang'ania wafunge ndoa kwanza kabla ya yote hapo ndo kabugi. Na akifanikiwa ndoa drama zitakwisha.
Braza sikatai...ndio maana tunasema wasanii ni vioo vya jamiiKuwa superstar kuna changamoto zake vbbgfg zinajileta usipokuwa makini utageuka hivyo.
Diamond yupo kwenye age ya kuruka, Zari yeye yupo kwenye age ya kutulia na kufarijiana You can guess the qoncequence...
Kwangu nadhani tutamwita jamaa malaya kwasababu anajulikana kutuzidi... ila kuwa side vbbgfg lipo saana mitaani...
Sipo vizuri kufuatlia maisha ya wasanii ila mahusiano mengi yanakuwa rooted na kazi.. na ya Mond naweza kuyaweka asilimia kubwa yalikuwepo kwasababu ya kazi zao na si upendo.
Mkuu hao ni wafanyabiashara ni kiki tu hiyo ili wapige pesa
Mchoro umeandaliwa vema,sasa album ya MTOTO WA TANDALE itaachiwa na itauza sana,mwisho wa siku Diamond atakwenda na magoti atahonga gari jipy atamkatia mgao wake zari maisha yataendelea
Mark my words!
Diamond ana moyo wa utumbo sioI smelled this before if real it is! Kwa uroho na ujana wa Diamond ni vigumu kuishi na bibi mmoja bila kucheat. Zari pia ana moyo wa nyama, anaumia!!!
Wakirudianaaa uje NA umbeaa kamaa huu wanaume mmgeuka ma...lohEnough is enough. The Bosslady kaamua kubwaga manyanga. Kavumilia alivyoweza kaona isiwe tabu kaamua kuachana na Diamond. Naamuunga mkono na ninamsifu kwa uvumilivu...gooo goo Zari goooooo kisicho riziki hakiliki. Haya kazi ni kwa wale watafutaji nafasi iko wazi.
AbsolutelyIt sound to me as though she's extremely frustrated with the way everything in her life is going/was going..especially love life.
Probably, Mond was a causative.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]wema sepetu like your status