Zari avunja rasmi mahusiano yake na Diamond Platinumz sababu ya kukosekana kwa uaminifu katika mahusiano yao

Zari avunja rasmi mahusiano yake na Diamond Platinumz sababu ya kukosekana kwa uaminifu katika mahusiano yao

Ila bado kuna watu watawndelea kumfuatilia zarina hata baada ya kuwaachia mtu wao
 
Zari kafanya jambo jema sasa ni wakati wa Wema kuolewa na Diamond...
Mkuu hao ni wafanyabiashara ni kiki tu hiyo ili wapige pesa
Mchoro umeandaliwa vema,sasa album ya MTOTO WA TANDALE itaachiwa na itauza sana,mwisho wa siku Diamond atakwenda na magoti atahonga gari jipy atamkatia mgao wake zari maisha yataendelea
Mark my words!
 
Hiv zari alimkoseaga nn mange duuh maana sio kwa mineno ile
 
Domo na familia yake wamejaa MIDRAMA YA NGONO, Zari kafanya maamuzi ya maana sana
 
Wewe tabia ya kucheat siyo ya Mondi peke yake,hyo ni hulka ya wanaume wengi awe maskini,uwezo wa kati ama tajiri!!Mumuache Mondi, kwanza mwanaume uliyekamilika unawezaje kula mwanamke mmoja maisha yako yote!?halafu sasa watoto wenyewe wakike wanavotutega na walivyo wazuri kuliko mama zao unaachaje kucheat!!mumuache Mondi bana!
Ishu sio kucheat...respect man...cheat lakini jitahidi mwenzio asijue..usimvunjie heshima
 
Kuwa superstar kuna changamoto zake vbbgfg zinajileta usipokuwa makini utageuka hivyo.

Diamond yupo kwenye age ya kuruka, Zari yeye yupo kwenye age ya kutulia na kufarijiana You can guess the qoncequence...

Kwangu nadhani tutamwita jamaa malaya kwasababu anajulikana kutuzidi... ila kuwa side vbbgfg lipo saana mitaani...

Sipo vizuri kufuatlia maisha ya wasanii ila mahusiano mengi yanakuwa rooted na kazi.. na ya Mond naweza kuyaweka asilimia kubwa yalikuwepo kwasababu ya kazi zao na si upendo.
Braza sikatai...ndio maana tunasema wasanii ni vioo vya jamii
Ni reflection ya jamii ilivyo
Kwamba wanayoyafanya ndivyo jamii ilivyo
Cha msingi...hata iwe vipi..ikotokea ume cheat...cha lazima ni kuwa msiri na kutomvunjia mwenzako heshima
 
Mkuu hao ni wafanyabiashara ni kiki tu hiyo ili wapige pesa
Mchoro umeandaliwa vema,sasa album ya MTOTO WA TANDALE itaachiwa na itauza sana,mwisho wa siku Diamond atakwenda na magoti atahonga gari jipy atamkatia mgao wake zari maisha yataendelea
Mark my words!

sio wema sepetu yule

wala brand yake si TZ tu

huwezi post hii kitu worldwide, ana fans nje y tz

uko wrong
 
I smelled this before if real it is! Kwa uroho na ujana wa Diamond ni vigumu kuishi na bibi mmoja bila kucheat. Zari pia ana moyo wa nyama, anaumia!!!
Diamond ana moyo wa utumbo sio
 
Enough is enough. The Bosslady kaamua kubwaga manyanga. Kavumilia alivyoweza kaona isiwe tabu kaamua kuachana na Diamond. Naamuunga mkono na ninamsifu kwa uvumilivu...gooo goo Zari goooooo kisicho riziki hakiliki. Haya kazi ni kwa wale watafutaji nafasi iko wazi.
Wakirudianaaa uje NA umbeaa kamaa huu wanaume mmgeuka ma...loh
 
It sound to me as though she's extremely frustrated with the way everything in her life is going/was going..especially love life.

Probably, Mond was a causative.
Absolutely
 
Back
Top Bottom