Zari mwanaume haachwi; Ulicheza faulo

Zari mwanaume haachwi; Ulicheza faulo

Jinsia yako mleta mada please!

Hapo ulipomalizia kwa kuandika;

"Na wewe domo nina kichambo chako"

Hii sio kauli ya kianaume hata kidogo ,kama wewe ni Me basi una hasara kubwa sana!!
Wanaume wengi wa siku hizi hawajui walifanyalo!roho inaniuma sana nikiona vijana wa kiume wamekuwa walaini hivi yaani wamelegea.daahh mungu saidia hiki kizazi
 
Tatizo wadada wa mjini mnapenda kuoelewa/ kudate mastaa Ila hamtaki kulipa gharama, ku date na staa sio mchezo, mamillion ya watu wanatamani kulala na mastaa, mastaa huwa wanasumbuliwa kila kukicha, ebu fikiria mtu kama Rihanna, unadhani hakuna mtu wa kumuoa? , tatizo watu wanajua ni stress kumdate rihanna , mtu kila siku anazunguka duniani kufanya shoo, unajua anakutana na watu wangapi? , Hana muda na mpenzi wala familia, uko tayar kuvumilia ku date mtu kama huyo , uko tayar ku cope? , mastaa hawana muda wa kutosha wa ku enjoy na familia zao.

Sasa Dada yetu zari wakati unakutana na diamond ulimkuta akiwa staa tayar , alikua na msululu kibao wa wanawake aliodate nao au kulala nao , ulijua fika kuwa mtu wako anawindwa na wadada wa mujini, Ila wewe ukabahatika, na mkazaa , tena mtoto wa watu alikua anakuheshimu na kukupost instagram juu, Diamond ni malaya hilo liko Wazi, Ila kwa kuwa iliamua kumzalia tena watoto wawili, we ni bora tu ungemvumilia upuuzi wake mkalea watoto vizuri , maana tunajua kama usingetangaza kuachana na diamond sidhan kama yeye angekuacha, hyo jeuri Hana , Diamond anakupenda Ila kuna watu tu wanamchezeya tu akili kuaribu familia yako, sasa na wewe ulivyokua na moyo mwepesi na kujifanya bosslady ukaamua kumuacha, wenzio wakambeba maana walikua wanammendea toka alivyokua kwako, Ila tunajua tu soon atarudi kwako kwa magoti maana now sio akili zake, Ila ulicheza faulo kumuacha baba watoto wako , na wewe Domo nina kichambo chako
Haaa haaaa! Naona unafuata nyayo za mange kimambi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haki kuachwa Kubaya. Now kafunga CCTV camera imekuwa Shida. Mwanamke huyu????????
Kafunga kwake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] amekaribia akienda kunya atasema tukae tayari
 
Diamond nikijana malaya alotokea kumpenda mno zary.

Niivi Alishindwa kujiongoza umalaya wake ,ila nakuhakikishia zary alikua na impact kubwa sana kwa Diamond nandio sababu Diamond baada ya kuachana na Zary amejitahidi sana kujifanya hajapoteza kitu lkn ukweli nikwamba kapoteza na hilo analijua mno.

Alafu ujue Zary , alikua mwanamke pure sana kwajamaa, nimwanamke pekee alompa diamond msukumo wakufika hapa alipo. Tofauti namidemu yake ya zaman ilokua inamliza mliza ovyoovyo.lkn toka alipokua na "Nyota ya asubuh" (zary) mambo yakanyooka kisawasawa.


Wacha nikuambie kitu, Zary nimwanamke mzuri namakin kiasi kwamba wanawake wenzake wanamuonea wivu +zary nimwanamke (celeb) mzuri kiasi kwamba kila mwanamme atataman kua naye ..

Ujue sisi wanaume ,kuna mwanamke ukimuona unavaa mawan, ila kuna mwanamke akikupita mbele yako ,moyon unajisemea "ndoa iyoOooooo inapita"

Ningepata nafasi ya kumshaur diamond,ningemwambia Funga ndoa na Zarieth.

Kwanza jamaa kaachana naye lkn kamoyo kanamuuma sana .
Tatizo unaandikaga magazeti putin nishakudharauu
 
Tatizo wadada wa mjini mnapenda kuoelewa/ kudate mastaa Ila hamtaki kulipa gharama, ku date na staa sio mchezo, mamillion ya watu wanatamani kulala na mastaa, mastaa huwa wanasumbuliwa kila kukicha, ebu fikiria mtu kama Rihanna, unadhani hakuna mtu wa kumuoa? , tatizo watu wanajua ni stress kumdate rihanna , mtu kila siku anazunguka duniani kufanya shoo, unajua anakutana na watu wangapi? , Hana muda na mpenzi wala familia, uko tayar kuvumilia ku date mtu kama huyo , uko tayar ku cope? , mastaa hawana muda wa kutosha wa ku enjoy na familia zao.

Sasa Dada yetu zari wakati unakutana na diamond ulimkuta akiwa staa tayar , alikua na msululu kibao wa wanawake aliodate nao au kulala nao , ulijua fika kuwa mtu wako anawindwa na wadada wa mujini, Ila wewe ukabahatika, na mkazaa , tena mtoto wa watu alikua anakuheshimu na kukupost instagram juu, Diamond ni malaya hilo liko Wazi, Ila kwa kuwa iliamua kumzalia tena watoto wawili, we ni bora tu ungemvumilia upuuzi wake mkalea watoto vizuri , maana tunajua kama usingetangaza kuachana na diamond sidhan kama yeye angekuacha, hyo jeuri Hana , Diamond anakupenda Ila kuna watu tu wanamchezeya tu akili kuaribu familia yako, sasa na wewe ulivyokua na moyo mwepesi na kujifanya bosslady ukaamua kumuacha, wenzio wakambeba maana walikua wanammendea toka alivyokua kwako, Ila tunajua tu soon atarudi kwako kwa magoti maana now sio akili zake, Ila ulicheza faulo kumuacha baba watoto wako , na wewe Domo nina kichambo chako
Diamond alikutana na ganda la ndizi. Alikua anapenda kulelewa na anavyopenda show off tena yuko na bibie mwenye wadhifa, akajiona keshafika.

Zari ni mwanamke anayejielewa na anajua anafanya nini. Huyo mond aendelee na huo msululu kwakua anadhani ustaa ni kudate na wanawake wengi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] naona haters wa zari wamepata cha kuongea hapa pyeeeeeee wivu mbaya sana lowlife bana. Kutwa nzima insta na snap kwa zari. Humpend mtu kwann unamfatilia fatilia aiseee ngoja nikachungulie kapost nini[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Kama vya kuhongwa hata sisi tunahongwa tu kufikia umri wa zari tutakuwa nayo hata sisi,labda we ndio unatishika kwa vitu alivyonavyo zari,,k lyn akianza kujitapa hadi vikombe si tutakufa jamani
 
Back
Top Bottom