Zari mwanaume haachwi; Ulicheza faulo

Zari mwanaume haachwi; Ulicheza faulo

Kumbeee tenaaa makubwaaa Narumuk mimi Us ntaenda mbona na siku nikienda humu mtakojoaa Narumuki utalazwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uende usiende Mimi cha msingi ni kuonja K yako tu
 
Ila hamisa Ana gundu, couple yake na domo hata haionogi , mbona diamond anajificha ficha hata amtangazi mmh hamisa nae Ana moyo, side chick ndo hadhi yake
 
Mi naona diamond amelewa sifa na mapesa anayoyapata yanamfanya ajione hakuna kinachoshindikana, ki ukweli kwa sasa ukimwangalia hayuko vyema amekonda sana japokuwa ana pesa anaweza kwenda bara lolote duniani.Nilitegemea mama yake angemshauri na kumkemea mbele ya hadhara ili angalau arudi kwenye mstari.
 
Back
Top Bottom