Unafiki tatizo ni waandishi tatizo kiingereza kina ushikaji wa kinafiki sana muda unakihitaji kinakukataa kabisa." Tiffah what have been south to tanzania have been" tiffah yuko haaaa[emoji849][emoji849]
wabongo konyo kweli, kitendo cha zari kuwaleta watoto waje kumsalimia baba yao, yameongelewa mambo mazito ambayo hata km ndo mara yako ya kwanza kumsikia zari utajiona km ulimfaham cku nying zlizopita
kama zari yupo humu jf, nna uhakika atakuwa keshamtafuta warumi ili ampe uPrivate Secretary au usocial networker
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wamerudiana hajajirudisha , Jaman warumi leo Nina raha mwenzenu , Niko zangu nakunywa tu Hennessy chumban , Zari ashike tu mimba nyingine , pesa za Kulea tunazo hatutaki child support sie[emoji23]
Kweli mwayaMambo ya wazazi hayaingiliwi sie yetu yabaki kuwa macho tu
Umenikumbusha king bae jamani duh!Kwani zari si aliolewaga jamani! ndoa na king bae ilipotelea wapi?
[emoji23][emoji23] uwiiiih nihatariWatoto kisingizio kaleta K kwa Domo[emoji16][emoji16]
[emoji23]Tatizo wapi?
Pia ana mdogo wake wa kiume mkubwa angewaleta lakin bibie kwa camera kamsahau hadi kingbae
Hawajapoteza, wameiba,Kumbe na wewe unawajua hawa daladala wa angani
Nina kesi nao wamepoteza begi langu yaaan[emoji26][emoji26]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hivi watu maarufu huwa hawapati ukimwi!!?
Nauliza tu
ukipewa jibu naomba ni tag!!!Hivi watu maarufu huwa hawapati ukimwi!!?
Nauliza tu
Basi tu vile kitanda hakizai haramu...Yaan huyo mtoto wa kiume anafanana sana na marehemu baba ake wa kambo
Ni nini hiki kimeongelewa hapa" Tiffah what have been south to tanzania have been" tiffah yuko haaaa[emoji849][emoji849]
Daaah!! Umenifungua akili sana, wewe Dada, ni kadogo lkn kameingia uzuri, unatumia kinywaji gani tafadhali chukua hapo kwa Mpemba...diamond awe makini Sana na zarina kwa sasa kwa aliyomtendea wanawake hawasahau wallah.