Zari na wanaye (Tiffa na Nillan) watua Tanzania

Zari na wanaye (Tiffa na Nillan) watua Tanzania

wabongo konyo kweli, kitendo cha zari kuwaleta watoto waje kumsalimia baba yao, yameongelewa mambo mazito ambayo hata km ndo mara yako ya kwanza kumsikia zari utajiona km ulimfaham cku nying zlizopita

kama zari yupo humu jf, nna uhakika atakuwa keshamtafuta warumi ili ampe uPrivate Secretary au usocial networker
 
Ila ubinadamu kaaazi, Diamond alipotelekeza watoto waja waliongea hatari, now wamepatana watoto wanakuja kusalimia baba yao waja tena yanawatoka. Hivi mnatakaje lakini?

Mnawapangia hawa wasanii maisha kwa vitu ambavyo hata nyie hamuwezi. Hivi watoto wadogo hivyo ni wa kutumwa tu kama furushi? Any caring mother lazima angewaleta mwenyewe, hayo mengine ni yao watajuana wenyewe.
 
wabongo konyo kweli, kitendo cha zari kuwaleta watoto waje kumsalimia baba yao, yameongelewa mambo mazito ambayo hata km ndo mara yako ya kwanza kumsikia zari utajiona km ulimfaham cku nying zlizopita

kama zari yupo humu jf, nna uhakika atakuwa keshamtafuta warumi ili ampe uPrivate Secretary au usocial networker

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Leo Nina raha warumi mie Jaman khaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wamerudiana hajajirudisha , Jaman warumi leo Nina raha mwenzenu , Niko zangu nakunywa tu Hennessy chumban , Zari ashike tu mimba nyingine , pesa za Kulea tunazo hatutaki child support sie[emoji23]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Yaan huyo mtoto wa kiume anafanana sana na marehemu baba ake wa kambo
 
diamond awe makini Sana na zarina kwa sasa kwa aliyomtendea wanawake hawasahau wallah.
Daaah!! Umenifungua akili sana, wewe Dada, ni kadogo lkn kameingia uzuri, unatumia kinywaji gani tafadhali chukua hapo kwa Mpemba...

Nina ma x- wawili wote wana mtoto mmoja mmoja lkn hawajazaa huko walikoenda, ni matasa, sasa naona wanatumia watoto kutaka kuja!!! mmoja kanipa na hela kabisaaa tena nyingi tu!!!
 
Back
Top Bottom