Yet he can legally marry and have Kids..ulitaka amuhasi ili asitoke nje ya ndoa? au atumie ushirikina kama nyie wabongo mnavyofanya? kampa choice kama ataona inampendeza kufanya anayoyafanya hiyo ni juu yake sio kosa la mwanamke yeye kampenda jamaa inabidi ambebee na madhaifu yake, wala sio kwamba kamwambia endelea kuzaa watoto nje unawaleta nitakuleleea. katumia falsafa ya hali ya juu. mimi sizai tena yeye akitaka atafute mtu wa kuzaa naye hata waoto 20 kwa kauli hiyo siku nikisikia Diamond kazaa mtoto mwingine nje nitajua moja kati ya haya ni sahihi. 1. diamond anataka kumfukuza zali ila anamtafutia sababu. 2. Mbwa ni mbwa hata avae suluali na viatu bado atakuwa mbwa tu.
Mkuu uko sawa kabisaMwanamke ambaye anaruhusu mumewe kuzaa nje sio mfano wa kuigwa hata kidogo.
Nakusalimia pia mama, heri ya sikukuu.Mimi nakusalimia
Zari alijua akizaa diamond hatosaliti ameona hakuna jipya bora asitishe maana anaukimbilia uzee kwa speed ta hatari
Msikie hapa..
Hana shida na mtoto wa Mobeto..makosa ya wazazi si makosa ya mtoto. Yuko tayari kumpokea mtoto.
My Take...
Huyu mwanamke nafikiri akili zake si za Africa. Ana akili kubwa sana. Na sioni Mobeto kama anakaribia hata moja ya tatu.
Diamond karuhusiwa aendelee 'kuwatembezea' kama alivyomshauri mwanae akue aje afanye hivyo.
Zari .. Strong woman.
Basi aitwe sister duuuWabongo shwain wallah huyu Zari alipendwa mpaka wengine walitamani bora wasingekua waTZ, eti Leo anaitwa bibi duh!
Kama Hawezi kuzaa afanyeje? Ambanie mumewe asizae wakati yy anawatoto watano?mwanamke anayempenda mume wake, kamwe hawezi kumruhusu awatembezee wanawake wengine nje..
Mwanamke ambaye anaruhusu mumewe kuzaa nje sio mfano wa kuigwa hata kidogo.
Msikie hapa..
Hana shida na mtoto wa Mobeto..makosa ya wazazi si makosa ya mtoto. Yuko tayari kumpokea mtoto.
My Take...
Huyu mwanamke nafikiri akili zake si za Africa. Ana akili kubwa sana. Na sioni Mobeto kama anakaribia hata moja ya tatu.
Diamond karuhusiwa aendelee 'kuwatembezea' kama alivyomshauri mwanae akue aje afanye hivyo.
Zari .. Strong woman.
Msikie hapa..
Hana shida na mtoto wa Mobeto..makosa ya wazazi si makosa ya mtoto. Yuko tayari kumpokea mtoto.
My Take...
Huyu mwanamke nafikiri akili zake si za Africa. Ana akili kubwa sana. Na sioni Mobeto kama anakaribia hata moja ya tatu.
Diamond karuhusiwa aendelee 'kuwatembezea' kama alivyomshauri mwanae akue aje afanye hivyo.
Zari .. Strong woman.
Kumuambia mume akazae nje ndo ustrong woman? Au mi sijaelewa
Pale ngoma dro umesahau zali nae anao wale wa ivan, ila kitendo cha kumwacha huru mondi nampa bonge la tiki the boslady kuna wanawake wanakomaa na wanaume hadi wanaugua vidonda vya tumboMtoto kweli hana kosa kabisa hata mi hapo nimempenda ila tu diamond asizoee kisa huyo wa kwanza kapokelewa.
Msikie hapa..
Hana shida na mtoto wa Mobeto..makosa ya wazazi si makosa ya mtoto. Yuko tayari kumpokea mtoto.
My Take...
Huyu mwanamke nafikiri akili zake si za Africa. Ana akili kubwa sana. Na sioni Mobeto kama anakaribia hata moja ya tatu.
Diamond karuhusiwa aendelee 'kuwatembezea' kama alivyomshauri mwanae akue aje afanye hivyo.
Zari .. Strong woman.
Diamond yeye kamkuta na wale watoto kakubaliana na hali ni tofauti na kuzaa nje huku kaoa tayariPale ngoma dro umesahau zali nae anao wale wa ivan, ila kitendo cha kumwacha huru mondi nampa bonge la tiki the boslady kuna wanawake wanakomaa na wanaume hadi wanaugua vidonda vya tumbo