ha ha ha alikua anatafuta kick tu kwa shigongo aolewe wapi akajambe ha ha ha atawaweza wale wahuni alishindwa masogange itakua yeye pyeee
Ivi natalia stella anafanya kazi gani Us??
Zari hanaga cheap beef, yupo smart n classic, hanaga mda kabisa na upuuuzi, mama ubaya kwani hujapata ubuyu wake na mh? Mmh ngoja nifunge domo mwenzangu yasije kunikuta kama ya member mwenzetu humu, ila mmh hapana kuna kitu kimenikaa kooni sina ata raha kwa kweli
Hahahaaa!Niwekee basi screen shots shoga angu.chaga kongwe ni gubeli tu
Yaani Wema anaungua moyoni acha tu.Ujue tusijidanganye hapa kua wema haumii...ni nani anayeweza kuvumilia maumivu haya?
Ila shoga nimewahi kupewa ubuyu wa kuaminika kua Diamond bado anampenda sana wema na haya yote anayafanya kumuumiza ili amrudie!
Maajabu haya.
Hahahaaa uwiiii warumi umenichekesha hadi basi.Hebu tupe huo ubuyu bwana usiogope yule member mwenzetu aliyekatwa mapanga alivamiwa tu hilo halihusiani na huku maana wasingemuibia.
Halafu yule ni mtu wa siasani sio huku kwetu kwenye maubuyuz.
Uwiiiii! Kweli Zari atakua kachokozwa sio mtu wa kuropoka hovyo.Ila kuna kitu kinashangaza hapa....kama Zari ameshaachana na mumewe na sasa hivi ana mpenzi mwingine, wivu wa nini?
Au ndio yaleyale tuliyosikia kua hili ni game na Diamond atakua looser at the end?
nigee maubuyu hayo sahv muheshmiwa nani huyo anapiga mbizi pale? kwakweli zari yupo smart sana
warumi utaniua kwa presha mwaga ubuyu miss michirizi 2006 kampata mheshimiwa??? am sory to say this.. hivi bado ana radha??? wanaume siwawezi
Natamani hyo account yake anipe mimi niwe namsimamia show maana boss wetu yule uzungu mwingi kuchambana hawezi, atukabidhi show tumfuraishe huyo chaga bibi mwenye mwili kama maiti ya nguruwe, nfyuuuuu
Hahahaaa, leo unanichekesha hadi kichwa kinaniuma ujue?Loh binamu utaniponza mwenzio ujue? Si unanijua binamu yako domo langu lisivyokuwa na break? Apa nimetengwa na ndugu jamaa na marafiki kwa ajili ya umbea, maana nshaharibu ndoa za watu kama nne kwa ajili ya umbea, nionee huruma binamu maana mie domo langu nalijua mwenyew
Hahahaaa!Niwekee basi screen shots shoga angu.
Hahahaaa!Niwekee basi screen shots shoga angu.