Zari 'The Boss Lady' VS Chagga Barbie 'Muke ya Mganda'

Zari 'The Boss Lady' VS Chagga Barbie 'Muke ya Mganda'

ha ha ha alikua anatafuta kick tu kwa shigongo aolewe wapi akajambe ha ha ha atawaweza wale wahuni alishindwa masogange itakua yeye pyeee

Zari hanaga cheap beef, yupo smart n classic, hanaga mda kabisa na upuuuzi, mama ubaya kwani hujapata ubuyu wake na mh? Mmh ngoja nifunge domo mwenzangu yasije kunikuta kama ya member mwenzetu humu, ila mmh hapana kuna kitu kimenikaa kooni sina ata raha kwa kweli
 
Hahahaaa uwiiii warumi umenichekesha hadi basi.Hebu tupe huo ubuyu bwana usiogope yule member mwenzetu aliyekatwa mapanga alivamiwa tu hilo halihusiani na huku maana wasingemuibia.
Halafu yule ni mtu wa siasani sio huku kwetu kwenye maubuyuz.
 
Last edited by a moderator:
Wema na mheshimiwa tena?????? Nae analotembeza kapu lake!
 
Zari hanaga cheap beef, yupo smart n classic, hanaga mda kabisa na upuuuzi, mama ubaya kwani hujapata ubuyu wake na mh? Mmh ngoja nifunge domo mwenzangu yasije kunikuta kama ya member mwenzetu humu, ila mmh hapana kuna kitu kimenikaa kooni sina ata raha kwa kweli

nigee maubuyu hayo sahv muheshmiwa nani huyo anapiga mbizi pale? kwakweli zari yupo smart sana
 
warumi utaniua kwa presha mwaga ubuyu miss michirizi 2006 kampata mheshimiwa??? am sory to say this.. hivi bado ana radha??? wanaume siwawezi
 
Last edited by a moderator:
warumi utaniua kwa presha mwaga ubuyu miss michirizi 2006 kampata mheshimiwa??? am sory to say this.. hivi bado ana radha??? wanaume siwawezi

Mjini raha binamu, shule imenishinda hadi umbea nao unishinde?
 
Last edited by a moderator:
Yaani Wema anaungua moyoni acha tu.Ujue tusijidanganye hapa kua wema haumii...ni nani anayeweza kuvumilia maumivu haya?
Ila shoga nimewahi kupewa ubuyu wa kuaminika kua Diamond bado anampenda sana wema na haya yote anayafanya kumuumiza ili amrudie!
Maajabu haya.

MAneno ya wakosaji tu, shemej zari leo kesho anatuletea half cast la nguvu
 
Hahahaaa uwiiii warumi umenichekesha hadi basi.Hebu tupe huo ubuyu bwana usiogope yule member mwenzetu aliyekatwa mapanga alivamiwa tu hilo halihusiani na huku maana wasingemuibia.
Halafu yule ni mtu wa siasani sio huku kwetu kwenye maubuyuz.

Loh binamu utaniponza mwenzio ujue? Si unanijua binamu yako domo langu lisivyokuwa na break? Apa nimetengwa na ndugu jamaa na marafiki kwa ajili ya umbea, maana nshaharibu ndoa za watu kama nne kwa ajili ya umbea, nionee huruma binamu maana mie domo langu nalijua mwenyew
 
Last edited by a moderator:
Uwiiiii! Kweli Zari atakua kachokozwa sio mtu wa kuropoka hovyo.Ila kuna kitu kinashangaza hapa....kama Zari ameshaachana na mumewe na sasa hivi ana mpenzi mwingine, wivu wa nini?
Au ndio yaleyale tuliyosikia kua hili ni game na Diamond atakua looser at the end?

hapo ndo naposhanga na mimi
 
Chaggabarbie kabadilisha avatar yake saiv anajiita mukeyamganda kafuta ile post ya michambo.....ila hii movie badae diamond ataloose na kuangukia pua Zari na Ivan wala hawajaachana.

Kama unafatilia account ya Ivan utaona kila anachopost Ivan Zari anacomment na kueka vile vikatuni vya kopa aka love na Ivan nae anareply back kushow love nae anacomment kwenye account ya Zari kwa kueka love ivo huu ni mchezo tu wala msitekwe na hawawatu

Ila kaeni mkijua kua hii game Diamond atafeli very soon
 
warumi utaniua kwa presha mwaga ubuyu miss michirizi 2006 kampata mheshimiwa??? am sory to say this.. hivi bado ana radha??? wanaume siwawezi

Kufa hufi binamu ila cha moto utakiona, ebu jipooze kidogo na fragile upunguze huo uharo, ntarudi si mda
 
Last edited by a moderator:
Natamani hyo account yake anipe mimi niwe namsimamia show maana boss wetu yule uzungu mwingi kuchambana hawezi, atukabidhi show tumfuraishe huyo chaga bibi mwenye mwili kama maiti ya nguruwe, nfyuuuuu

chaggabibi hahaha basi anajiona classic wakati hana afanyalo uko US zaidi ya kuuza K tu
Ivan tangu walipomuwish kwenye birthday yake na kumtumia madolali basi anajiona classic wakati level ya Zari haiwezi
 
Loh binamu utaniponza mwenzio ujue? Si unanijua binamu yako domo langu lisivyokuwa na break? Apa nimetengwa na ndugu jamaa na marafiki kwa ajili ya umbea, maana nshaharibu ndoa za watu kama nne kwa ajili ya umbea, nionee huruma binamu maana mie domo langu nalijua mwenyew
Hahahaaa, leo unanichekesha hadi kichwa kinaniuma ujue?
Haya nausubiri huo ubuyu wa moto ila usichelewe basi binamu.
 

Attachments

  • 1427386182275.jpg
    1427386182275.jpg
    57.3 KB · Views: 1,076
  • 1427386206397.jpg
    1427386206397.jpg
    66.4 KB · Views: 1,031
Back
Top Bottom