Zari vs Hamisa mambo ni hivii instagram

Status
Not open for further replies.
Mtoto hanyonyeshw tangu ana miezi miwili kama sio mmoja na nusu ndo akaanza harakati za kudai pesa ndefu.

Hata mie nasubiria mwisho wake kheee isiishe bana ntakosa wa kubishana nao humu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama ni kweli bi tununu hanyonyeshi watoto kisa kumkomoa ndomo hapo kabugi yena vibaya sana.
Ila hii movie yao sijui itaishia wapi
 
Mtoto hanyonyeshw tangu ana miezi miwili kama sio mmoja na nusu ndo akaanza harakati za kudai pesa ndefu.

Hata mie nasubiria mwisho wake kheee isiishe bana ntakosa wa kubishana nao humu
Kwani kunyonyesha lazima
 
hizi make up na camera za iphone ni kiboko
Ahahahahahah si kwa chambo hizo
 
Zari bana hadi mambaba yana mchukia huyu mdada ana nyota tamu. Jeshi la mutu mumojaaa
Jeshi la mtu mmoja ni misa,,zari na familia yake wote wanaendeshwa na katoto
 
Acheni kumpa kichwa huyo misa ati pambana utashinda? Kichwa box yule ukimpa hata milioni mia ukimtembelea baada ya miezi mitatu kabaki na laki mbili hata asset hana...yule bibi anamanage biashara anajua nin anafanya
 
Hahahaha misa yupi huyo aliyeenda kugeuzwa sanamu na nguo yake ya komunio uganda na adui wa zari hahahahaha kila anachofanya zari, misa anaiga pyeee pyeeee zari ni maji usipoyanywa utayaoga

Thread nzima tunamjadili zari zari awesome
Jeshi la mtu mmoja ni misa,,zari na familia yake wote wanaendeshwa na katoto
 
Uganda wote wanafahamu zari ana bifu na boss wa hamisa(don zella) so ujumbe ulikua wa Don ila sasa tununu ili amfurahishe don wake akajiweka kati kwenye ugomvi usiomhusu
Jiwe limerushwa gizani yeye limempata. Na katoa mapovu haswa.
Ndio maana anakondeana kwa stress
 
Hahahaha misa yupi huyo aliyeenda kugeuzwa sanamu na nguo yake ya komunio uganda na adui wa zari hahahahaha kila anachofanya zari, misa anaiga pyeee pyeeee zari ni maji usipoyanywa utayaoga

Thread nzima tunamjadili zari zari awesome
Hivi kwanini dai hakwenda Ug alikua na shoo wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mtoto hanyonyeshw tangu ana miezi miwili kama sio mmoja na nusu ndo akaanza harakati za kudai pesa ndefu.

Hata mie nasubiria mwisho wake kheee isiishe bana ntakosa wa kubishana nao humu
Ndo mana nasema wanamshauri tununu hawamshauri vizuri,yeye kesho ya mwanae haijui kazi kukaa mitandaoni na kujibishana na watu wenye mali za urithi[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila mwacheni asiyefunza na mamaye ulimwengu upo utamfunza kwa bakora
 
Kisa pesa,zari anachamba huku anaingiza pesaaaaaa. Cheki tangazo la danube ,cheki hivyo vichambo kisa white partyyyyyy. Money baby moneyyyyyy
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…