joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Hayo maswala yao ya kuchambana si shangai ndio hulka ya wanawake na uke wenza ,mimi namuangalia mtoto, hivi mtoto ananyonya kweli manake mama full kuzurula, Mara Kenya, Nigeria sasa hivi Uganda, alafu kafungua kesi ya kutaka matunzo ya mtoto, wakati yeye mwenyewe hampi matunzo ya muhimu mwanawe, kwa ajili ya kujenga kinga muhimu kwa mtoto au ananyonyesha watu wazima na midefu yao.Kizazi cha sasa cha wanawake hawajielewi, hapo utakuta anaogopa maziwa yatadondoka, haangalii kinga ya mtoto namuonea sana huruma mwanaye.