Zari white party

Unadhani hayo maendeleo tutayapata vipi ikiwa tunatumia siku nzima kuchunguza watu wanaotengeneza maisha yao na kufanya ndoto za maisha yao kuwa kweli.....????

Tutayaona tu kwenye magazeti.. Kwa kweli inabidi watu wabadilike la sivyo huko tuendako hatutafika hata tupewe miaka 2,000,000... Ukikutana na comments za wabongo kwenye page za watu Insta au Tweeter unaeza tamani ujifungie kwenye handaki
 
Tutayaona tu kwenye magazeti.. Kwa kweli inabidi watu wabadilike la sivyo huko tuendako hatutafika hata tupewe miaka 2,000,000... Ukikutana na comments za wabongo kwenye page za watu Insta au Tweeter unaeza tamani ujifungie kwenye handaki
...........ndio maana rais anaamua akajipumzikie huko nje ya nchi kila mara...sasa unadhani wananchi wako kama hawa utadiscuss nao nini cha maana...zaidi ya umbea...tu??
 
...........ndio maana rais anaamua akajipumzikie huko nje ya nchi kila mara...sasa unadhani wananchi wako kama hawa utadiscuss nao nini cha maana...zaidi ya umbea...tu??

Comment yako imenifanya nicheke
 

Ww umeshampitia? Acha wivu wa kike mtt n mrembo yule
 
 
ndo diamond anatembea na mwanamke kama huyu anajiona yupo salama anajua wangapi wamepitia hapo

Ww unajuwa kwa yule demu wako wa manzese wameopita mateja wangapi? Achen wivu dai.. ale vinono c kazitafuta pesa mwenyewe
 
Ww unajuwa kwa yule demu wako wa manzese wameopita mateja wangapi? Achen wivu dai.. ale vinono c kazitafuta pesa mwenyewe

Watu wanajifanya malaika wanasahau list zao zaeza fika wapi so wanaishia kutukana tu.. People tuacheni hizi tutafute pesa
 

a
m
e
n
 

Umeanza vibaya ktk uchambuz wako coz wanaume aliotoka nao Zari hadi kifikia umri wake n wachache kulinganisha na wasichana wengi Duniani ie Wema, Lulu na hata demu wako.
Bt umemaliza vizur iliposema tumuache dai ale vyake coz wanaume wachache sana wanaweza kuacha utamu even if they are married. Bravo
 
Sasa kama amekamatwa mbona watu walijaa kwenye party yake.. Watu wa IG ni wajinga na mataahira sana

atakuwa alikamatwa na polisiccm,manake wameshindwa kukamata mafisadi wa escrow
 
Ww unajuwa kwa yule demu wako wa manzese wameopita mateja wangapi? Achen wivu dai.. ale vinono c kazitafuta pesa mwenyewe
bora mlemavu wa kiungo kuliko mlemavu wa akili kama wewe
 
Jf bana,unaushahidi kwamba hajalipwa???papuchi anapewa yeye na crew yake yote ama😎😎😎 zari kuwalipia ticket na kilakitu katika show sio shida all she wants is popularity

Vipi wewe una ushahidi kuwa kawalipa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…