fisadi12
Senior Member
- Dec 13, 2014
- 134
- 47
Mm huwa nawazaga haya mambo wanavyofanya na kuyarusha kwa mitandao ya jamii hawawazi kama wazazi wao wanaona. Diamond anasema anampenda sana mama yake sasa mbona mambo kama haya anayaweka wazi haoni anamkosea adabu mama yake. Mm kama mama naumia sana.
mama mwenyewe anapelekwa pelekwa tu na mtoto hana amri yoyote ju ya mwanawe chezea pesa ww